Recent content by babukatunz

  1. B

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Daah hongera sana,lipo jambo nimejifunza kutoka kwako,umetujali kwa kutumia mda wako,baadhi ya stor zako zimekuwa na funzo,ila nipe nikutanishe mary aliyeko mwanza,hata nimsalimie,tufahamiane nae kimwanzamwanza.Mungu amkufungulia njia,barikiwa mtu wa Mungu
  2. B

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mkuu pole sana,ugesema kabisa uko mkoa gani,
  3. B

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hivi kama ni wewe unaweza kufanyaje,mke mkubwa anamfaham,mama mkwe kisha lambishwa asali ua umesahau ?
  4. B

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nyumbani tena?huyu mwanamke alikuwa na mbongo sana,na kuwapata wa hivi huwa ni bahati sana!sawa na kukutana na malaika wa yakobo
  5. B

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Siyo kila kitu lazima umgombeze Mkeo,Mmeo au Mtoto wako
  6. B

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Irene ana hila sana ndo atakuja zanzibar,wala siyo mzigo kama mzigo
  7. B

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Zanziba utaenda na Asma,kizoka atampa gari epsod hii
  8. B

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Daaah,Asma ameshaliwa tayari,na kakubali kuwa mchepuko wa siri
  9. B

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji855]
  10. B

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ambao hatuko dar inamaana tumeungua hatutakula/kunywa nawe
Back
Top Bottom