Recent content by BabuFey

  1. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Heche ndio msaliti wa chadema

    Acha ungese Brenda katuma rambirambi kwa niaba ya Heche na chama.
  2. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Tetesi: WanaCCM amkeni tupambane na state capture ya Wicknell Chivayo na Genge lake kwani ndio wanayeongoza Tanzania kwa sasa, Raisi ni Kivuli tu.

    Kuna nani mwingine kapigwa picha akimkumbatia Samia namna hii mara nyingi zaidi ya huyu Zimbabwean hatukuona hata za marehemu.
  3. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    A jack of all trades and master of none Unajitia una ufahamu wa kila jambo wakati SI KWELI.
  4. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Wafuga Midevu na Majini wanapiga a wao kwa wao huko Yemen 🇾🇪

    Habarivya majini waulize wagalatia wa Kuhani Mussa.Mwamposya na makanisa kama hayo kila ibadan wanawake wanapagawa na kugaragara kwa kupandwa na majini na uchawi wa makuhani kabla ya kutoa sadaka kwa fedha za vikoba.
  5. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu, Baada ya Heche anayefuatia ni Kingai

    Obviously you have low IQ and suffering from cognitive issues.
  6. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Kislam akiwa eda anaruhusiwa kukumbatiwa hadharani?

    Jimbo liko wazi.
  7. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Kikwete aliona mbali sana kwamba ni kheri Slaa kuwa rais kuliko Tundu Lissu

    Tatizo lako hujui mtu mwenye msimamo thabit (principled) Umesahau Abdul akisindikizwa na Wenje walitaka kumuhonga tena mishahara yake ya halali AKAKATAA. Nyie mnadhani sisi ni manyani kama Freeman ambaye ameuza utu wake kwa kutegemea arafidiwa Bilcanas.
  8. BabuFey

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    Gerson hajakuambia la kusema? Ok what?
  9. BabuFey

    JamiiForums Tanzania CDF ,IGP, DPP jiandaeni kujibu Aliyeua Watanganyika Oktoba 29 2025 ni nani? Na Nani aliwapa Order ya Kuua Watanganyika Oktoba 29!

    Natumaini Kingai ataulizwa kuhusu yule komandoo wa Mbowe aliyepotelea njiani akiwa mikononi mwa kikosi chake.
  10. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka tusaidie ufafanuzi wa kisheria kwa Mhadhiri wa UDOM kuachiwa huru na masharti kama mtu aliye kwenye kifungo cha nje

    Huyu kaletwa na Gerson mjini mwaka jana hayo atujulia wapi? K
  11. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Hongera sana da Fatma Karume

    Ametubu nini ? Kuacha kusema haki inapominywa? Au haki kwake ya kusemewa ni dhidi ya Watanganyika na hususan hayati Magu pekee ambaye wakati wake hakuuwa raia wengi kiasi kile cha 10 Oct?
  12. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Bibi Titi,Mwanamke Shujaa aliyesahaulika!

    Hayati Nyerere nyakati nyingine hakuwa na shukrani kwa waliomsaidia kuanzia waliomshonea suruali yake ya kwanza(kabla alikuwa anavaa kaptula tena za khaki tuu) mpaka waliokuwa wanamlisha alipoacha ualimu. Mwenye Heri huyu alikuwa akienda Arusha na Singida kwenye kueneza TANU alifadhiliwa na...
  13. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Uhuru wa Mahakama Haulindwi kwa Maneno, Bali kwa Muundo: Kwanini Kauli ya kikatiba kwamba "Mahakama ni huru", bila muundo bora ni Udhaifu mkubwa..?

    Mahakama ipo huru kiasi gani kiasi cha kumuacha 'Jaji' H Mwanga kuendelea na uhakimu baada ya kutoka tume ya uchaguzi ZnZ hata baada ya kuonyeshwa ubatili wa hukumu zake. Huhitaji shahada kujua anawekwa pale kwa maslahi maalum . Nisinge shangaa angekuwepo kwenye jopo la kesi ya Lissu.
  14. BabuFey

    JamiiForums Tanzania Je, Brenda Rupia alimvalisha Kitanzi Tundu Lissu kwa ushahidi wake?

    Usiwe kama Katuga anayechanganya Legal meanings na kiswahili dictionary meaning Kutumia nguvu kuna maana nyingi huyo Katuga wako kaogopa kuuliza ni nguvu gani kati ya mabavu na ushawishi.
Back
Top Bottom