Nani alitoa ruhusa ya kupiga risasi na kuuwa Watanganyika 29/10?
Nani aliwaambia wanajeshi wajitayarishe siku za uchagu,I?
Nywinywi ni nini,?
Acha ujinga.
Kuunda tume hata mia ni upuuzi kwani alishasema mara watu wa nje mara watu walilipwa nk majibu kesha toa tume ya nini?
Fedha za mikopo ni danganya toto hii serikali haina fedha hata za kukarabati barabara muhimu ,mishahara nk seize bilion mia mbili za kukopesha? Mpaka sasa tutajie vijana hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.