:decision::thinking::crazy:Mie nina miliki ka flash ka 2GB, ka moderm ka vodafone kalikochakachuliwa, line ya Zantel,Tigo, airtel na voda zote zikiwa na airtime ya bukubuku,ka simu ka Mchina aina ya pro tech,Radio ya KICHBO, ka screen ka inch 6 black and white baiskeli aina ya SWALA niliachiwa...