Recent content by Babu Geno

  1. B

    PreGE2025 Video: Hivi ndivyo Helikopta ya CHAUMMA ilivyotua Serengeti

    sana tu usikate tamaa kuna siku nitatoa historia yangu pengine utashangaa zaidi
  2. B

    Anasema yeye ndo anatoa hela, leo kaombwa hela live kawa Mkali🤣

    Jamani Tik tok mbona inamwaga radhi haifungiwi? Tuliyoyaona yanatosha jamani
  3. B

    "Wanawake Wenzako". Hii Ni Kauli Ya Dharau Sana Iliyotolewa Na Luhaga Mpina Kwa Amiri Jeshi Mkuu. Imeniudhi Sana

    Kuna msemo maarufu unasema Kunya anye kuku tu, akinya bata kaharisha!!!! siasa za Tanzania zimekuwa ni mipasho na kudharalishana mbele za kadamnasi za watu bila ya kujali cheo au umri au haiba ya mtu. Nimeshangaa kuona wabunge wa CCM wanachambwa mbele za watu na viongozi wao utafikiri ni wa...
  4. B

    PreGE2025 Tazama Luhaga Mpina akiondoka Uwanjani, Meatu baada ya mkutano wa Rais Samia

    Safi sana Mpina Mungu yupo na wewe usiogope. Kwa hali hii kweli tunahitaji Tanganyika
  5. B

    Tetesi: FIFA kuifungia Tanzania kufutia saga la mechi ya Simba na Yanga

    Ushahidi ni pale rais Karia alipoambiwa asigombee tena !!!!!!!
  6. B

    PreGE2025 Serikali yakana kufungia Kanisa la Gwajima

    Sielewi kama naota au vipi kama kanisa la Gwajima halijafungiwa mbona leo polisi walikwenda huko na kowasambaratisha waumini wa kanisa hilo tena kwa kuwapiga mabomu
  7. B

    Yuko wapi Gwajima na anaogopa nini wakati anachofanya si kosa?

    Hata Mungu alimuepusha Yesu kuuwawa na Herode akawafanya Mamajusi wabadilishe njia. Gwajima anajua kilichompata Boni Mwangi wa kenya anajiepusha na hilo na Mungu atamlinda tu. Nchi imeharibika bwana
  8. B

    Haya ndio majibu na uchambuzi wangu mzito na wa kina kwa hotuba ya Askofu Dkt. Gwajima

    Ni bora kukaa kimya kwa sababu lolote utakalosema au kushauri au kueleza masikitiko yako utaonekana mchochezi na gaidi
  9. B

    Dunia nzima hakuna watu wasiri kama Watanzania wanashika nafasi ya tatu baada ya China na Korea Kaskazini

    Ndio maana mbunge wa darasa la saba anajinasibu na kumshambulia mbunge mwenye PhD huku akishangiliwa na vigelegele
  10. B

    PreGE2025 Muliro: Walichosema Mwangi na Atuhaire ni maoni yao

    Kweli ndugu kwani hata sodoma na gomora ilikuwa wale wageni waliofikia kwa Lutu watu waliwafuata kuwalawiti!!!
  11. B

    PreGE2025 Hongereni CHAUMMA kwa mwanzo ulio bora kabisa, chama hujengwa, na hatimaye husimama!

    Sababu hawakuleta masinia ya ubwabwa kwenye mkutanao
  12. B

    Tanzania inazidi kuchafuka kimataifa!!

    Nahisi ni moja ya sababu Makamu ameamua kustaafu kuliko kupata aibu kila kuchao
  13. B

    Kwa mwenendo huu, siku moja serikali ya Tanzania itakuwa ya kijeshi

    Nabashiri jambo baya au tusilolitazamia kutokea kwa sababu naona maamuzi mengi yanatolewa kwa gadhabu bila hata kufikiri kidogo repercussion. Jamani mimi sielewi tupo wapi na tunaelekea wapi kila kitu kipo shagalabagala. Hali hii naona Mungu ametuacha hakika.
Back
Top Bottom