Najiskia vby sana kwa hali ulonayo free ur mind apa watu uwa hawalazimishwi huusika wowote n usitumie nguvu nyingi unacho hitaji nikuvuta pumzi na kushusha pumzi hapa ni JF baba dont take things serious sana free up ur mind and enjoy thee Arena
Hawa ndo wale Wana JF wanaojuaga kila kitu ooooh maskini nakushauri ujenge mazoea yakuwa unasoma vitabu labda utapunguza kubwabwaja nakuonea huruma poleee
Nikitu kimoja tu kwangu ambacho ningeweza kumove on na yeye hata kama angekua nanini ni yeye kuwa mkweli tu atakama ukweli ni mchungu na pia kufanya yale tulio kubaliana pia na mm namengi madhaifu kweke jpo siyajui
Nikweli sio kwamba nayajua saaaana ila napenda kujaribu style tofauti na foreplayes tofauti tofauti n siku zote mm huwa mwafunzi na nitabaki kuwa studentiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.