Umelaaniwa kuliko shetani. Laana yako itapita hata vizazi vitano. Amini nakuambia hautaonja mauti kabla ya kujutia kauli yako hii. Karma is a bitch it fucks every one.
Hatukuhitaji muuaji wa raia wasio na hatia. Yeye kama baba wa nchi karma ikifanya kazi yake wengi tutaumia kwani ni wana wa nchi hii. Mwambieni aache mambo ya kishamba na kujiona yeye ni sawa na Mungu muumba wa mbingu na nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.