Nimeipenda hio. Naweza kukuunganisha na mtu japo so msukuma wala mjita lkn anatoka kanda ya ziwa pia. Vigezo vyote hivo anavyo japo hajabahatika kupata kazi bdo. Hem ni-inbox more info then naweza niwe daraja kt yenu.
Natafuta mteja wa eneo la beach kyela 15km kutoka mjini lina mchanga na kina kifupi. Lina apartment haijakamilika. Mil 50 lakini bei inaweza kujadiliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.