Hongera Monicca
Kuolewa sio issue,kui- ishi ndoa ndio kubwa na la msingi
Mungu akujalie kui ishi ndoa ya amani furaha na upendo,kuvumiliana na kutunziana mapungufu(kati yenu nyie wawili)ndiyo siri ya mafanikio, marriage is a life time adventure from this moment on
Love is the greatest invension...