Recent content by babalao 2

  1. babalao 2

    PreGE2025 Askofu Gwajima: Ikatokea Abdul mtoto wa Mama Samia amechukuliwa kesho kaokotwa hana macho utajisikiaje?

    Kinachotisha n siku upande wa pili wakianza kulipa kisasi kwa wanaowadhani wanawatenda leo..nchi Itaangamia
  2. babalao 2

    PreGE2025 Nitajibu na kutoa ufafanuzi na uchambuzi wa kina wa hotuba ya Askofu Gwajima, Jumatatu. Usipange kukosa kunifuatilia

    Unajibu hotuba ya mwenzako badala na wewe ulete hotuba yako kuhusu yanayoendelea nchini...hotuba ya gwajima imejitosheleza wahusika waipate waifanyie kazi.
  3. babalao 2

    Wazazi nchini wawaonya vijana wao kutothubutu kushiriki maandamano ya CHADEMA

    Kikao kimekaa wapi sisi wazazi tusijue
  4. babalao 2

    CHADEMA kujiandaa kumjibu Rais Samia ni utovu mkubwa wa adabu

    Watamjibu Mwenyekiti wa ccm
  5. babalao 2

    Barabara za Tanzania ni kwa ajili ya magari sio kwa ajili ya maandamano kama za Kenya

    Akili finyuuu...walipa kodi ndyo waamuzi wa matumizi
  6. babalao 2

    "Samia must go" kampeni iliyofeli baada ya kutamkwa

    Chadema hawajawahi fanya maandamano kuzuia shughuli za serikali.... aina ya maandamano uyatakayo huja watu wakijitambua bila kujali vyama vyao
  7. babalao 2

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Mambo magumu
  8. babalao 2

    Wafahamu Mawaziri toka Zanzibar

    Uchukuzi sio jambo la muungano tena
  9. babalao 2

    Vita ya kisiasa baina ya Tanganyika na Zanzibar ipo wazi sasa

    Katiba ni ya nchi moja sasa unaposema za nchi mbili unatukosea
  10. babalao 2

    Ushauri kuhusu simu ya ukweli....

    Hata hiz za leo za 4.5mln 2030 hawataamini
Back
Top Bottom