Mkuu chama2chawa sio 10mm.height inatakiwa iwe kubwa hata zaidi ya hiyo niliotaja coz faida zake ni kama zifuatazo..!kutobadilisha mara kwa mara, kunyonya unyevu,kuua imelea vya magonjwa,kutunza joto.
Natumai vifaranga vyako vinaendelea vyema,ila next time vifaranga usiviweke sakafuni hii hupelekea kupata pneumonia.,wawekee sodust,pumba ya mpunga au hata majan makavu atleast 10 cm height.
Je ni kweli Benki kuu imesitisha kutolewa kwa huduma za mikopo Katika Benki zote ikiwemo CRDB mpaka July! Mwenye habari kamili juu ya hili Tafadhali Wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.