Recent content by bababkk

  1. B

    Hivi kukopa fedha nyingi na kutumia fedha hizo kugharamia miradi, huko mikopo hiyo ikilipwa na walalahoi, ndio kuchapa kazi?

    Kwa utaahira wako unaona Ni sawa watu kumi wewekewe airport kwa kutumia hela ya walalahoi badala ya airstrip ambayo ingekidhi mahitaji yao na hao walalahoi waendelee kusota.
  2. B

    Wazungu hawapendi kuwasikia viongozi wa Afrika wakisema nchi zao ni Tajiri.

    Nadhani nchi tajiri zikiongezeka mabeberu wanafurahi kwa Sababu soko la kuuza bidhaa zao linaongezeka. Hawana Sababu ya kukasirika. Ndio maana hata uwekezaji wa Japan Afrika ya kusini Ni mkubwa. Hivi Japan wamewekeza chochote hapa ?
  3. B

    Hivi kukopa fedha nyingi na kutumia fedha hizo kugharamia miradi, huko mikopo hiyo ikilipwa na walalahoi, ndio kuchapa kazi?

    Ninaomba ufafanuzi. Hivi airport ya chato inahudimia watanzania wangapi kwa siku na je Kama hiyo hela ungejengwa vituo vya afya Ni vingapi vingejengwa na vingehudumia watanzania wangapi kwa siku?
  4. B

    Waziri Jaffo (TAMISEMI) aagiza kila Mkuu wa Mkoa kujenga viwanda vipya 100

    Kama kiwanda kinaanzishwa kirahisi hivyo kwanini aagize vijengwe Mia moja tu? angeagiza nchi yote ijae viwanda.
  5. B

    Rais Magufuli ameamua nchi ifungue sura mpya ya kimaendeleo kuelekea 2025

    Nadhani hata RAISI WETU MPENDWA AMEKWISHA SEMA WATANZANIA SIO WAJINGA. hivyo wanaonao yanafanyika na hawana Sababu ya kusoma andiko lako ili wajue.
  6. B

    Mh. Rais sitisha ujenzi wa stendi za mabasi ya Nyamhongoro na Nyegezi Jijini Mwanza

    Hivi jiji la mwanza halina wataalamu wa mipango miji?
  7. B

    Je, ni kweli kwenye mbuga ya Selous kuna ndege zinatua na kuondoka bila mamlaka na security ya nchi kujua?

    Huko angani hakuna Barabara Kama unazojua wewe. Kuna utaratibu wa kuhakikisha ndege hazigongani. Na ili huo utaratibu ufanye kazi Ni muhimu ndege inayotaka kutuka itoe taarifa na iambiwe ipite vipi huko angani isigogane na ndege nyingine
  8. B

    Je, ni kweli kwenye mbuga ya Selous kuna ndege zinatua na kuondoka bila mamlaka na security ya nchi kujua?

    Kama Ni hivyo Kuna haja gani ya kuliingiza kwenye mkutano wa hadhara. Nadhani ingelitosha hatua stahiki zichukuliwe watu waone tofauti wakiuliza waambiwe.
  9. B

    Video: Halmashauri kuu ya TLP yampitisha Dr. John Magufuli kuwa Mgombea Urais 2020

    Unaweza kuta halmashauri kuu Ni yeye na mke wake
Back
Top Bottom