Kwa utaahira wako unaona Ni sawa watu kumi wewekewe airport kwa kutumia hela ya walalahoi badala ya airstrip ambayo ingekidhi mahitaji yao na hao walalahoi waendelee kusota.
Nadhani nchi tajiri zikiongezeka mabeberu wanafurahi kwa Sababu soko la kuuza bidhaa zao linaongezeka. Hawana Sababu ya kukasirika. Ndio maana hata uwekezaji wa Japan Afrika ya kusini Ni mkubwa. Hivi Japan wamewekeza chochote hapa ?
Ninaomba ufafanuzi. Hivi airport ya chato inahudimia watanzania wangapi kwa siku na je Kama hiyo hela ungejengwa vituo vya afya Ni vingapi vingejengwa na vingehudumia watanzania wangapi kwa siku?
Huko angani hakuna Barabara Kama unazojua wewe. Kuna utaratibu wa kuhakikisha ndege hazigongani. Na ili huo utaratibu ufanye kazi Ni muhimu ndege inayotaka kutuka itoe taarifa na iambiwe ipite vipi huko angani isigogane na ndege nyingine
Kama Ni hivyo Kuna haja gani ya kuliingiza kwenye mkutano wa hadhara. Nadhani ingelitosha hatua stahiki zichukuliwe watu waone tofauti wakiuliza waambiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.