Man u ni timu inayoongoza kwa mashabiki duniani hiyo imetokana na soka lake mrua lilio kua linapigwa kipini cha 1999's mpaka 2010 man u ilifanikiwa kusomba mashabiki pande zote duniani
Tokaea Sir.Alex kuondoka man u imepata msuko msuko mkubwa ilikabiziwa kwa moyes lakn aliishindwa akapatiwa Van...
Samata ni mchezaji mwenye magoli 11 katika ligi ya ubelgiji akiwa anaongoza,amaekua faraja sana kwa watanzania.
siku chache zilizopita alitengeneza makala inayomusuhu maisha yake kiujumla
huyo kunguru wa zanzivar hafugiki kamabkaanza ujanani uzee nii si itakua shida.cha msingi kaka achana nae mbaki muheshimiane kama mzaz mwenza tafuta mwanamke mwingine kaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.