Recent content by Baba Yvonne

  1. B

    Je, Bagamoyo Port itakuja kuwa White Elephant Port?

    Endeleeni kushindani na marehemu, ninaisubiri siku ambayo mtaanza kumkumbuka na kumuomba msamaha, kumsema vibaya marehemu hakuwezi kuondoa ukweli ambao wananchi wanaujua kuhusu rais Magufuli, lakini mjue mpinzani wenu saizi ni Samia na sio Magufuli tena yeye ameshatangula mahali ambapo sote...
  2. B

    Tundu Lissu akiagwa Ubelgiji tayari kwa safari ya kurejea nyumbani

    Duuh! Wamemtumia hadi wamechoka, sasa ndio wamemwachia aje nyumbani likizo. Nina imani atarudi tu huko Belgiam au jamaa watakuwa wanamfwata bongo. Wazungu sio watu wazuri, hawana adabu kabisa.
  3. B

    Mama Samia: Hakuna aliyetarajia msiba wa Rais Mkapa kwa sababu hatukusikia kuumwa kwake, tumesikia msiba wake. Ni msiba mzito na umekuja kwa mshtuko

    INGEKUWA CORONA KIKWETE ANGEWEZAJE KWENDA KUMUONA, TENA ALIONGEA NAE, NA BADO MKEWE ANASALIMIANA NA VIONGOZI VIZURI TO TENA PASIPOKUWA NA TAHADHARI, JAMANI TUSIJIONE TUNAJUWA KUREASON KULIKO VIONGOZI WETU
  4. B

    Maaskofu watatu KKKT(Malasusa, Mbedule na Massangwa) watengwa

    Shoo mahaba yake na Lowassa yataangusha kanisa letu.
  5. B

    Nauza kiwanja Dar es salaam

    Njoo inbox tuongee
  6. B

    Nauza kiwanja Dar es salaam

    Bado kipo tuwasiliane no. 0718571137
  7. B

    Nauza kiwanja Dar es salaam

    Mbele ya mradi
  8. B

    Nauza kiwanja Dar es salaam

    Hakijapimwa
  9. B

    Nauza kiwanja Dar es salaam

    Ongea tufanye biashara
  10. B

    Nauza kiwanja Dar es salaam

    Mazungumzo yapo
  11. B

    Nauza kiwanja Dar es salaam

    Unaingia kushoto
  12. B

    Nauza kiwanja Dar es salaam

    Hakina mgogoro wowote, nipigie tuongee vizuri
  13. B

    Nauza kiwanja Dar es salaam

    Nauza kiwanja, kipo eneo linaitwa Italiani kabla haujafika Chanika, Limezungukwa na nyumba zilizoisha tayali, ni 20kwa 20. bei 3,000,000. Maelewano yapo. 0718571137, 0756528845
  14. B

    Nitashangaa sana endapo Magufuli atagombea urais 2020

    Kwa sasa sijaona mbadala halisi wa JPM.
Back
Top Bottom