Endeleeni kushindani na marehemu, ninaisubiri siku ambayo mtaanza kumkumbuka na kumuomba msamaha, kumsema vibaya marehemu hakuwezi kuondoa ukweli ambao wananchi wanaujua kuhusu rais Magufuli, lakini mjue mpinzani wenu saizi ni Samia na sio Magufuli tena yeye ameshatangula mahali ambapo sote...
Duuh! Wamemtumia hadi wamechoka, sasa ndio wamemwachia aje nyumbani likizo. Nina imani atarudi tu huko Belgiam au jamaa watakuwa wanamfwata bongo. Wazungu sio watu wazuri, hawana adabu kabisa.
INGEKUWA CORONA KIKWETE ANGEWEZAJE KWENDA KUMUONA, TENA ALIONGEA NAE, NA BADO MKEWE ANASALIMIANA NA VIONGOZI VIZURI TO TENA PASIPOKUWA NA TAHADHARI, JAMANI TUSIJIONE TUNAJUWA KUREASON KULIKO VIONGOZI WETU
Nauza kiwanja, kipo eneo linaitwa Italiani kabla haujafika Chanika, Limezungukwa na nyumba zilizoisha tayali, ni 20kwa 20. bei 3,000,000. Maelewano yapo. 0718571137, 0756528845
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.