Mkuu, Dr Mushi kawaiga wale wazee. Yeye kama yeye mrembo tu hana shida kama alivyo mke wake. Kuna kozi ya molecular biology Dr Mushi alitufundisha mbona alikuwa poa tu ila kwenye biochemistry anakimbiza anacopy kwa wale madingi. Kwenye oral exam anauliza maswali tricky km Prof Muta hahahaaaa
BLS 2010 _ 2013. Nilikuja kuanza BSc nikiwa kazini.tayr. Nilirudi kituoni kwangu baada ya kumaliza BLS. Nawakumbuka sana Dr Hoza nasikia sasa hivi amekuwa mpole sana... dr G Misinzo, Prof Balthazary alikuwa alikuwa academic advisor wangu mpk sasa bado nawasiliana nae na mara kadhaa nakutana naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.