Kwani kati ya wachambuzi wa michezo shafii naye yupo.
Shaffii ni mchambuzi wa Udaku na umbea. Si alikosa kazi tff afu yy ni shabiki wa Yanga.
Ndio maana huwa sisikilizi cloids media maisha yangu yote. Coz hawanaga habari.
Tukio la jana katika uwanja wa Taifa kati ya Simba na yanga limenipa funzo gumu saana. Kumbe zuruma inaweza kujenga uasi. Tuteende Haki.
Bt Mh Zitto Kabwe ,Mo, Jb, Mwana Fa , Ommy dimpoz kwa nini mulivunja vitu uwanjani jana. Wakati mchezo hauitaji hasita.
Soka la Bongo [emoji35] [emoji35]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.