Recent content by Baba Rhobi

  1. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Video Editors na Content Creators: Una edit video zako kwa kutumia software gani?

    Kwa long run jifunze Da Vinci tu ndo dunia imehamia.
  2. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Ila kwa upande wangu speedAf hua fasta kuliko Posta.
  3. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Hapo nimekupata Kaka, Shukrani sana.
  4. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Matusi ya nini Ndugu yangu, AliExpress mara nyingi kama sio mara zote hutumia usafiri wa Anga ndio maana nimeuliza, na nimeandika hapo vizuri kabisa kwa walio tumia huduma zao recently anipe uzoefu, wewe hapo zoefu umeandika upi....!?
  5. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Mimi nimetumia AliExpress muda kidogo umepita, mwaka 2025 nilitumia mara moja tu, tena pale mwanzoni, juzi hapa naingia nahitaji kuagiza kitu nakuta mauza uza. Shipping method ni moja tu, "Free shipping" na hakuna option ya kuchagua na hujui nani ataleta mzigo, pia muda ni mrefu sana, mfano na...
  6. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania KERO Hivi Tanzania hatuna Telecom Companies zinazotoa huduma za internet zinazoendana na kasi wanayotaka Wateja?

    Asante sana Mkuu, nimefanya hivyo naona afadhali kwakweli.
  7. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania KERO Hivi Tanzania hatuna Telecom Companies zinazotoa huduma za internet zinazoendana na kasi wanayotaka Wateja?

    Jamaa kwa kweli wamejitahidi, wapewe maua yao, wakiweza ku ongeza coverage na ku handle maeneo ya mijini vizuri during peak hours, mitandao mingine itatoka kwenye game.
  8. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Motorola G6 Power vs Oppo Reno

    Sasa kaka hizo za mtumba si zitakuja na betri ambazo tayari zimetumika sana au mi ndo sijaelewa.
  9. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Je, unaifahamu HONOR?

    Sasa bika kuweka bei ya hio simu, unazungumzia kitu gani mkubwa. Weka na specs kabisa, bila hivyo hawaja pata mtu sahihi kuwa ambassador wao.
  10. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania KERO Hivi Tanzania hatuna Telecom Companies zinazotoa huduma za internet zinazoendana na kasi wanayotaka Wateja?

    Niko Mwanza ila hii ODU router ya Airtel ni kama hua na pepo hivi, nikiwa kwangu Router haina speed kabisa hovyo, ila nikiweka bando kwenye simu, mtandao ni speed balaa, ila nikienda kwa jirani router hiyo hiyo inakimbiza, na ikifika saa 1 jioni hadi saa 3 hapo mtandao haushiki kabisa kwenye...
  11. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Shukrani sana kaka, nafikiri Next week nachukua hii.
  12. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Nashukuru sana Kaka, Umemaliza.
  13. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Shukran sana mkuu, naomba kuuliza pia kama utafahamu na bei za rangi (ink).
  14. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Biashara njema Mkuu ndio maana sikutaka kutia mguu huko make kama ni msaada wa kawiada huwa ni hapa hapa kama wadau wengine walivyofanya., Chief-Mkwawa na Aleyn wameshanisaidia bure kabisa.
Back
Top Bottom