Recent content by Baba Rhobi

  1. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa MacBook, niende na ipi kati ya MacBook Neo (Brand New), Air M2 (8GB/256GB) au Pro (2019, 16GB/512GB)!

    Ukiwa mviziaji Pinduoduo unapata M4 air kwa hiyo bajeti ya 2.3 bila shida.
  2. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania NI NJIA GANI BORA YA KUTOA FEDHA KUTOKA META (Facebook).

    Nashukuru sana Bro, Ngoja nipitie.
  3. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania NI NJIA GANI BORA YA KUTOA FEDHA KUTOKA META (Facebook).

    Kuhusu utaratibu wake ukoje kaka, ni njia gani inafuatwa kufungua account na mambo ya kuzingatia
  4. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania NI NJIA GANI BORA YA KUTOA FEDHA KUTOKA META (Facebook).

    Wakuu mimi ni mgeni katika sekta ya pesa mtandaoni, ila Meta kwa sasa wananitaka kuweka payout details, kwa uchunguzi mdogo nilioufanya nimegundua kuna mbinu 3 hivi 1-Kupitia Payoneer 2- PayPal 3-Direct kuja bank zetu hizi Lengo langu pia ni kutunza hivyo vijisenti vikiwa katika Dollar make...
  5. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusafirisha vifurushi kutoka China

    Wakuu njoeni mnipe Mwongozo.
  6. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusafirisha vifurushi kutoka China

    Nashukuru kwa Mwongozo wako, hapo kwenye wengi ndio nimekwama, lengo ni kusafirisha hizi bidhaa ndogo ndogo uzito haufiki hata kilo, ni recommend kampuni ambayo wewe unatumia itakua msaada mkubwa kwangu.
  7. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusafirisha vifurushi kutoka China

    Sio inaweza, mara nyingi huzidi.
  8. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusafirisha vifurushi kutoka China

    Zipo kampuni za wabongo ila ndo hivo tena, unakuta wengine janja janja sana.
  9. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusafirisha vifurushi kutoka China

    Ndugu zangu habari yenu, Ninahitaji msaada wa kampuni isiyo na longo longo ya kusafirisha parcels kutoka China, Lengo ni kununua bidhaa toka Pinduoduo. Nahitaji inayo kubali kusafirisha parcel ndogo ndogo.
  10. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Github sasa kila kukicha inakuja na changamoto mpya

    Ukiwa makini kwa hiyo laki 5 utapata nzuri tu ya kuanzia, hakikisha RAM iwe ya stick moja, na iwe walau 8GB na i5 10gen ukikaza unapata, itakusukuma.
  11. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Mimi natumia ECOA, wanakupa jiko na sufuria 2 kwa 197,000.
  12. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Hayo ni matumizi ya June 16 ilikua milo miwili, june 14 ilikua miwili pia. Zingine sija synchronize data.
  13. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Saa moja ni pale unapoweka 1000W ndo utatumia saa 1, na kwa moto huo ni mkali kwa mapishi mengi unless una chemsha kitu, Ila kwa mboga mboga nyingi hizi na wali mapishi hayavuki hapo mkuu.
  14. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Matumizi ya umeme kwenye infrared yanaweza kuwa juu kidogo.
Back
Top Bottom