Recent content by Baba Rhobi

  1. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Mimi natumia ECOA, wanakupa jiko na sufuria 2 kwa 197,000.
  2. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Hayo ni matumizi ya June 16 ilikua milo miwili, june 14 ilikua miwili pia. Zingine sija synchronize data.
  3. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Saa moja ni pale unapoweka 1000W ndo utatumia saa 1, na kwa moto huo ni mkali kwa mapishi mengi unless una chemsha kitu, Ila kwa mboga mboga nyingi hizi na wali mapishi hayavuki hapo mkuu.
  4. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Matumizi ya umeme kwenye infrared yanaweza kuwa juu kidogo.
  5. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Induction vs Gas: Okoa Pesa, Hesabu Hazidanganyi!

    Speaking from experience induction kwangu familia ya watu watatu, matumizi ni around 0.9-1.2 unit per day, gas kwangu ni back up na kupikia ugali tu. Kwa bei matumizi ya umeme sifikishi jero kwa siku.
  6. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Je tutegemee maajabu hapa au ndo janja janja za wabongo

    Shida nyingine ni hii, wanao fungua account kama sellers ni ma winga, mteja akisema hii bidhaa siitaki ni mbovu, kubadilisha kipengele.
  7. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Je tutegemee maajabu hapa au ndo janja janja za wabongo

    Hapo ndipo E commerce za bongo zinapokwama sasa.
  8. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Je tutegemee maajabu hapa au ndo janja janja za wabongo

    Nimekutana na hili tangazo kua hawa watu wa Uhuru Market wame partner na Posta kufanya delivery nchi nzima, vipi kuna aliyewai kutumia huduma zao.
  9. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Hizi ndo sababu 5 kwanini Telegram ni bora mara 100 kuliko WhatsApp

    Mbona iko wazi, Uki clear data, kila kitu utaweza kukikuta kwenye App baadae na kudownload upya kaka unahitaji, Whatsapp ukifuta kama kilikua na hata siku mbili, hukopati tena.
  10. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na Majiko ya Induction ya ECOA anipe uzoefu tafadhali!

    Nimechukua jana, nasubiri kuwapelekea familia this weekend. Nitaleta mrejesho hapa wa matumizi.
  11. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na Majiko ya Induction ya ECOA anipe uzoefu tafadhali!

    Ngoja nikawacheki facebook naona wana account wanipe contact za dealer wao wa Mwanza .
  12. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na Majiko ya Induction ya ECOA anipe uzoefu tafadhali!

    Shukran sana brother, umenipa mwanga.
  13. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na Majiko ya Induction ya ECOA anipe uzoefu tafadhali!

    Shukran sana Kaka, hapa umenitoa tongo tongo zote.
  14. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na Majiko ya Induction ya ECOA anipe uzoefu tafadhali!

    Sina uhakika kama wanaweza kushusha kiwango, toka juu kuja chini, japo ni possibility pia, kesho naawasaka nichukue, vipi hujawai kutana na changamoto ikabidi pengine uende kwa fundi.
  15. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na Majiko ya Induction ya ECOA anipe uzoefu tafadhali!

    Kwasababu wewe unalitumia vipi kuhusu Uimara wake na hujawai kutana na changamoto za hapa na pale, na VIPI MIKIKI MIKIKI YA UGALI, LINA MUDU, kuna jamaa juzi alinambia et magandamizo wa sufuria la ugali unaweza vunja ile glass.
Back
Top Bottom