Recent content by Baba Rhobi

  1. Baba Rhobi

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Shukrani sana kaka, nafikiri Next week nachukua hii.
  2. Baba Rhobi

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Nashukuru sana Kaka, Umemaliza.
  3. Baba Rhobi

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Shukran sana mkuu, naomba kuuliza pia kama utafahamu na bei za rangi (ink).
  4. Baba Rhobi

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Biashara njema Mkuu ndio maana sikutaka kutia mguu huko make kama ni msaada wa kawiada huwa ni hapa hapa kama wadau wengine walivyofanya., Chief-Mkwawa na Aleyn wameshanisaidia bure kabisa.
  5. Baba Rhobi

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Shukrani sana Ndugu, ila nilipenda msaada uwekwe hapa na kwa faida ya wengine pia.
  6. Baba Rhobi

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Shukran sana Kaka, umenipa mwanga hapa.
  7. Baba Rhobi

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Wakuu kama title inavojieleza, tunahitaji Printer itakayoweza Copying, printing colored na Scanning. Sifa iwe na running costs ndogo japo pia matumizi yetu ni madogo labda ku print Karatasi 10-15 kwa wiki au chini ya hapo. Budget ni haizidi 450K, labda iwe pungufu ya hapo. Kuna zile naskia...
  8. Baba Rhobi

    Midea au roch ipi ni friji bora?

    Midea ni kampuni kubwa sana kwenye Home appliances hususani za jikoni, shida iko hapa, Je ni Midea original.....!?
  9. Baba Rhobi

    Badilisha PC yako ya zamani kuwa Powerful MIKROTIK ROUTER

    Shukurani kwa maelezo mazuri mkubwa. Unatumia package ipi ya fiber.
  10. Baba Rhobi

    Nahitaji pc ya kazi used core i7, ram 16-32,

    Kwa laptop kupata yenye Dedicated GPU kwa budget hiyo kipengele mkuu, au ongeza kidogo utafute m1 macbook Air itakufaa sana.
  11. Baba Rhobi

    Jinsi gani ya kuwa Data Analyst

    Nilianzaga hiyo safari kama mwaka juzi hivi ila mambo yalinizidi nika acha. Ukiwa unaona hapo unahisi ni vitu vichache tu unatakiwa kujua ila ukiingia ndani ni vingi mno. 1- Excell hii ndio rahisi kuliko zote. 2-SQL hapo ndo shuhuli ina anzi ujue MySQL, Microsoft DataBase, Bado cloud kama...
  12. Baba Rhobi

    Wataalam, Nahitaji uhakika wa umeme kwa vifaa vidogo kama laptop, simu, router, n.k. ikiwa kuna mgao wa siku 2, Je itanigharimu kiasi gani ?

    Sina Contacts mkuu ila Nimewai ona tangazo moja IG la mbongo anaziuza hapo Daslm, so nafikiri ukiziulizia utazipata, au Uagize mwenyewe kutoka China bei itakua nafuu zaidi.
Back
Top Bottom