Biashara njema Mkuu ndio maana sikutaka kutia mguu huko make kama ni msaada wa kawiada huwa ni hapa hapa kama wadau wengine walivyofanya., Chief-Mkwawa na Aleyn wameshanisaidia bure kabisa.
Wakuu kama title inavojieleza, tunahitaji Printer itakayoweza Copying, printing colored na Scanning. Sifa iwe na running costs ndogo japo pia matumizi yetu ni madogo labda ku print Karatasi 10-15 kwa wiki au chini ya hapo.
Budget ni haizidi 450K, labda iwe pungufu ya hapo.
Kuna zile naskia...
Nilianzaga hiyo safari kama mwaka juzi hivi ila mambo yalinizidi nika acha.
Ukiwa unaona hapo unahisi ni vitu vichache tu unatakiwa kujua ila ukiingia ndani ni vingi mno.
1- Excell hii ndio rahisi kuliko zote.
2-SQL hapo ndo shuhuli ina anzi ujue MySQL, Microsoft DataBase, Bado cloud kama...
Sina Contacts mkuu ila Nimewai ona tangazo moja IG la mbongo anaziuza hapo Daslm, so nafikiri ukiziulizia utazipata, au Uagize mwenyewe kutoka China bei itakua nafuu zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.