Saa moja ni pale unapoweka 1000W ndo utatumia saa 1, na kwa moto huo ni mkali kwa mapishi mengi unless una chemsha kitu, Ila kwa mboga mboga nyingi hizi na wali mapishi hayavuki hapo mkuu.
Speaking from experience induction kwangu familia ya watu watatu, matumizi ni around 0.9-1.2 unit per day, gas kwangu ni back up na kupikia ugali tu. Kwa bei matumizi ya umeme sifikishi jero kwa siku.
Mbona iko wazi, Uki clear data, kila kitu utaweza kukikuta kwenye App baadae na kudownload upya kaka unahitaji, Whatsapp ukifuta kama kilikua na hata siku mbili, hukopati tena.
Sina uhakika kama wanaweza kushusha kiwango, toka juu kuja chini, japo ni possibility pia, kesho naawasaka nichukue, vipi hujawai kutana na changamoto ikabidi pengine uende kwa fundi.
Kwasababu wewe unalitumia vipi kuhusu Uimara wake na hujawai kutana na changamoto za hapa na pale, na VIPI MIKIKI MIKIKI YA UGALI, LINA MUDU, kuna jamaa juzi alinambia et magandamizo wa sufuria la ugali unaweza vunja ile glass.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.