Bila Neema ya Mungu Watanzania wengi watakufa kwa njaa na siyo Corona ili kufanikiwa kuudhibiti Ugonjwa huu.
Na usifikirie kuwa shida ni ujinga ,watalaam tunawasikiliza na kuwaelewa vizuri sana shida ni Umasikini wa Watanzania walio wengi
Pascal huwa sipitwi na maandishi yako! Hebu tulitazame hili kwa pamoja kuongoza nchi na watu masikini ni kazi sana, siyo kwamba viongozi wetu hawajui njia sahihi au hatua stahiki za kuchukua dhidi ya corona shida ni umasikini wetu.
Mfano ukienda Kijiji utakuta familia inaendesha maisha kwa...
Siasa safi iko ndani ya CCM, na maendeleo yanaonekana, kumbuka Magufuli wa leo ni matokeo ya Upinzani ,huyu ndie Rais tuliemhitaji kama Taifa na Mungu katupa hitaji letu, mtangulizi wake mlimwita Dhaifu akawaletea Jembe Sasa munalalama
Siasa safi iko ndani ya CCM, na maendeleo yanaonekana, kumbuka Magufuli wa leo ni matokeo ya Upinzani ,huyu ndie Rais tuliemhitaji kama Taifa na Mungu katupa hitajo letu, mtangulizi wake mlimwita Dhaifu akawaletea Jembe Sasa munalalama
Mkuu mtazamo wako unaweza ukawa sahihi lakini, sikubaliani na wewe kwenye bandiko lako unapo ongelea siasa safi ,.mapokeo ya wananchi juu ya vyama pinzani haimanishi kwamba hivyo vyama vina siasa safi hapana,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.