Recent content by BABA PAROKO 92

  1. BABA PAROKO 92

    Nimemjengea mama yangu nyumba nikiwa bado nipo kwenye 20's

    Katumiwa pesa na ndg zake asimamie ujenz wa nyumba ya home sasa leo anatudanganya kua kajenga yeye kumbe yeye alikua watchman!
  2. BABA PAROKO 92

    Wadau, shamba/ kiwanja need exchange

    Wadau nina SHAMBA /KIWANJA changu kipo KAZIMZWUMBWI kisarawe , kina ukubwa wa robo tatu ya heka, nahitaji mtu wakubadilishana nae anipe sehem ingne nami nimpe hapo kwangu. KIWANJA kipo KARIBU na KITUO CHA AFYA cha KAZIMZWUMBWI karibu na kami kabisa. KARIBU tufanye kazi. 0755102030 Nawakilisha
  3. BABA PAROKO 92

    Mwanangu wa darasa la pili hili swali kakosaje? Au mwalimu ndiye hajielewi?

    Ikiwa REFEREE ni sawa basi tukubaliane hilo nini nila KUTOHOA kwenye kingereza.
  4. BABA PAROKO 92

    Mwanangu wa darasa la pili hili swali kakosaje? Au mwalimu ndiye hajielewi?

    Kwangu naona swali la 11 na swali la 15 yamekatwa kimakosa!
  5. BABA PAROKO 92

    Mwanangu wa darasa la pili hili swali kakosaje? Au mwalimu ndiye hajielewi?

    Je REFARII (REFEREE) ni neno la kiswahili? Tuanzie hapo!
  6. BABA PAROKO 92

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Wameeka link lakini jumbe hawajibu sasa link ya nini?
Back
Top Bottom