Hapo kwanza aondoe msongo wa mawazo alionao, pili afanye sana mazoezi ya viungo ili kuongeza msunguko wa damu na kupunguza uzito, tatu apige sana korosho mixer maziwa fresh plus asali, nne kama ni mpenzi wa muv za pilau apige stop kabisa, tano awe anatafuna vitunguu swaumu + tangawizi na asali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.