Recent content by Baba Moreen

  1. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Shukrani mkuu.
  2. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    aiseh mbona hatari hii...ngoja nisubiri nione mkuu response yao
  3. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Ngoja nijaribu kusubiri mkuu...yes huwa inachukua muda sema
  4. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Nilitumia sms mkuu na nimeomba niverify kupitia njia ya email wamegoma wamesema watsapp huverify kupitia namba ya simu tu
  5. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Mkuu nimejaribu imegoma....inanirudisha sehemu ya kujaza verification code (OTP) , na huko ndio inasema nidownload official watsapp while ninayo tayari
  6. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Email imebaki ileile mkuu...
  7. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Ngoja nijaribu hii shukrani
  8. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Mkuu nimefurah na kudownload muda huu kupitia playstore bado imegoma... pia kuna waliosema nidownload kupitia apo kama Aptoide nako vilevile
  9. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Nimebadili namba imekubali vizuri sana...shida namba yenye shida ndio namba official inayotambulika kwenye kutafutia riziki mkuu.
  10. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Hali ipo hivi. Asanteni sana wakuu.
  11. Baba Moreen

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuverify watsapp

    Habari za majukumu wakuu, Nilikuwa natumia watsapp mods (Fouad mods), lakini ghafla ilianza kuwa na version nyingi nikaamua kuhamia watsapp official kuanzia majuzi, nilifuta Fouad mods nikadownload watsapp messenger official,.. Shida no kuwa toka ni download watsapp messenger, siwezi kupata...
  12. Baba Moreen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania BASED ON MY TRUE STORY: Ogopa sana ukimya wa mwanamke. Kuna mahusiano/ndoa nzuri sana zinaharibika sababu ya kukosekana maongezi kati ya wapenzi

    You still love the woman mkuu huyo. Vee. Akirudi hata sahizi hauchomoi.. pole sana.
  13. Baba Moreen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania BASED ON MY TRUE STORY: Ogopa sana ukimya wa mwanamke. Kuna mahusiano/ndoa nzuri sana zinaharibika sababu ya kukosekana maongezi kati ya wapenzi

    Napitia hii hali.... Yani unaona mtu anachanua zaidi...so classy in her, alafu sasa hajali kitu.
  14. Baba Moreen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: SMS ninazochat na mwanafunzi zimekamatwa

    Asante mkuu maisha yanasonga Mungu ni mwema. Ajira nilipata nyingine.
  15. Baba Moreen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: SMS ninazochat na mwanafunzi zimekamatwa

    Nilipoteza kazi mkuu, na ilibidi nifungwe maana mzazi kabla ya kuja shule alikuwa amewasiliana na afisa elimu, tigo (message zote zilikuwa printed) , polisi Alifika mzazi mwenyewe ofisini, mkuu wangu alimuita, basi akaja alipanick vibaya sana, nililia pia nilikuwa kimwili mdogo, na nafamilia...
Back
Top Bottom