Nilipoteza kazi mkuu, na ilibidi nifungwe maana mzazi kabla ya kuja shule alikuwa amewasiliana na afisa elimu, tigo (message zote zilikuwa printed) , polisi
Alifika mzazi mwenyewe ofisini, mkuu wangu alimuita, basi akaja alipanick vibaya sana, nililia pia nilikuwa kimwili mdogo, na nafamilia...