Recent content by Baba Mkalum

  1. B

    NDOTO: Mume niliye naye siye ambaye nilipangiwa na Muumba

    Umeingiliwa Na mapepo, jalibu kuonana Na mchungaji wako akuombee
  2. B

    Wababe wameishia wapi? zamani kulikuwa na wababe kwelikweli mtaani kila mtu anamuogopa

    Wengi wao wamehalibiwa na madawa ya kulevya na sasa wamekuwa mateja wanasinzia tu!
  3. B

    Nimedukua mawasiliano ya mke wangu kwa WhatsApp code, aisee anapanga makubwa kunisaliti nitakaposafiri

    Duuu!! Ndiomana wanasema % kubwa ya watoto tulionao sio wakwetu. Tumeuziwa mimba Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
  4. B

    Mume wangu anapoteza hela yake bure, mimi sina uwezo wa kushika mimba

    Unatupotezea mda, kamwambie mwenyewe aache kupoteza ela ss hayatuhusu hayo
  5. B

    Natafuta rafiki wa kiume

    Duuuu inaonesha umeupania uwo mzigo!!
Back
Top Bottom