Recent content by Baba Mdogo wa Tz

  1. B

    Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

    Samahani mkuu huyo uvccm ameshachangia shule ngapi?Uongozi ni kipaji toka kwa Mungu hautafutwi kwa cement wala vijisent!Ninamshukuru kama alitoa mchango kwa nia ya kuwasaidia watoto!lakini kama ni mpango wa kisiasa Pole bro!!!
  2. B

    Utafiti: TAKUKURU, Polisi na Mahakama wanaongoza kwa rushwa

    God save us becouse satan is rulling our countries!!!!!including those before human look like leaders,in their hearts they know who are they!!!Please God expose them so as to people to realize what kind of leaders they have!!!!
  3. B

    Tume ya Uchaguzi yapiga marufuku Elimu kwa Umma kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya

    Wanataka kuendelea kuwa wezi kwa mujibu wa katiba!
  4. B

    Chondechonde viongozi wa Dini!

    Viongozi wetu wa Dini zote ninawasii sana kwenda taratibu na wanasiasa.Wachumia tumbo hawa wanaweza ahidi chochote wakati wanataka kura,lakini utekelezaji wake ukawa hadithi au hata ukaleta madhara kwa jamii nzima ya Tanzania!Ndugu zangu waislamu mahakama yenu mtaipata kwa njia kuuwelewesha umma...
  5. B

    Tatizo si CCM ni mchwa wenye miguu miwili!

    Wanajamvi nilikua natafakari jambo moja.Kwanini wasomi waliopo ndani ya serekali ndio wenye kashfa za wizi wa kitoto na wakijinga?Nimetambua ya kua waliomo ndani ya chama hiki wengi wao ni mchwa wanaokula hadi chuma!Wasomi wetu wakiingia tu kwenye sistimu wanakula wakijua waliowateua na...
  6. B

    Njia ya Lowassa kwenda Ikulu imejaa miba na visiki

    Tatizo sio Membe,Lowassa,makamba au yeyote yule bali chama chenyewe kwani hakijisimamii hivyo mtu akiwa madarakani haogopi kitu!Nani mwingine ndani ya CCM?Lazima atatajwa tu sanaaa,ila watanzania ni wakati wa kuacha siasa tusio jua nyuma yake kuna nini na ushabiki wa hovyo ni wakati wa...
Back
Top Bottom