Recent content by baba Manyo

  1. B

    Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

    najiuliza halafu sipati jibu,wote mlochangia mmechangia vizuri kwasababu unachangia kitu unachokielewa isitoshe tuko kwenye mawazo huria,ila NAJIULIZA kumwita mtu BABA kuna uhusiano gani na UKRISTO?mh natia shaka vijana wenzangu mnaofikiria hilo huku mkihusianisha hizo concepts mbili inaonesha...
  2. B

    Nani amemroga Profesa Palamagamba Kabudi?

    mtu anapochangia mtazamo wake katika maswala mbalimbali ni lazima mtazamo wake udondokeee kwa walio wengi?au aseme anachokiamini bila kufungwa na yeyoyote,kutokana na hilo nashauri mtu anapokuwa kaongea pumba tusimua attack yeye direct,tuattack hoja yake hiyo ambayo sisi tunaiona pumba
Back
Top Bottom