Recent content by baba havijawa

  1. B

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Business Management

    nina diploma ya business management natafuta kibarua cha taaluma hiyo au kinachofanania hapo
  2. B

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    mimi nina miaka 26 cjaoa ndo nimemaliza chuo. kama vp check me tuone ntakusaidiaje hiyo hali. ufurahie ulimwengu wa mapenz. najua kitu kikubwa kinachokosekana kwako ni furaha ya mapenz. utaipata na utatulia
  3. B

    I need a guy

    mimi ni mkristo alieanguka dhambini mara nyingi, nina miaka 27 nina elimu ya darasa la saba, msafi wa mwili ila mchafu wa kiroho, kazi yangu ni shoe shine. nina wish wewe uje uwe mke wangu labda Mungu amekutumia wewe uje kubadilisha maisha yangu ya kiroho
  4. B

    matatizo ya mahusiano

    maisha ni mizunguko na yenye changamoto nyingi, hususani katika masuala ya mapenzi, kila mtu katika mapenzi lazima akutane nayo, zamani nilidhani wengi wanaokutana na matatizo ktk mapenzi ni wale wasiokuwa na hela au masikini. la hasha mapenzi yanaliza class zote zote matajiri na masikini...
  5. B

    Naomba ajira au kibarua (temporary job)

    Nimemaliza diploma ya bussiness management miaka 2 iliyopita. Natafuta kibarua. Napatikana 0712021411
Back
Top Bottom