Hizi ni taarifa ambazo hazijadhibitishwa. Mbowe ni mwanaharakati mpambanaji. Naona hivi karibuni smear campaign dhiki yake zimekuwa kero sasa. Siasa ya Tanzania ni ngumu kwa sababu unafiki na majungu ndo vinatawala badala ya maswala ya msingi, hata kama amefeli masomo yake (yanamhusu yeye na...
Nadhani Rostam anaushawishi mkubwa katika ku-lobby kwa siri-kali makampuni ya kitapeli kama Richmond, etc. Ametajwa huko, lakini pia inawezekana anaushawishi kwenye vyombo vya habari ili asitajwe kiasi cha kutosha kwenye kashfa kadhaa. Dua la kuku halimpati mwewe? Rostam ni mwewe....wananchi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.