Happy easter jaman.....!
Kulingana na maneno ya watu wanasema pilipili inapunguza nguvu za kiume, imani yangu inanifanya niamini maana ukila pilipili halafu kama ni mwana riadha ni lazima utakuwa unachoka mapema..
Vip kuhusu TANGAWIZI ina effect hizo hizo.....! na inafaida gan mwilini?
angalia interest yako then toa maamuz ila... Kwa ulimwengu wa sasa ningekushauri soma CBG coz inafaida kubwa sana coz nyingi sana waweza soma hapo baadae maana uatasoma geography ambayo itakupeleka kwenye course ambazo mwenye EGM anaenda na makoz mengne mengi kwa upande wa art... Ila kuna izo...
haaa..! Huyo hawez chukua diploma wala certificate coz sasa iv ili uchukue diploma ni lazima uwe na ufaulu wa kuanzia D, kwenye physics, Biology, Chemistry... Bila ivyo kujiunga na diploma ni ngumu labda kwa njia ya panya ktkt vyuo vya private, ila kuna pia kama umekosa physics waweza chukua...
Mi ni mwanachuo mwaka wa kwanza na shida ya kujua kati ya laptop aina izi yopi unanishauri nichukue kulingana na uzuii wake HP, TOSHIBA, DELL, ALCER. Samahanin kwa usumbufu wana Jf.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.