Recent content by B for Beatrice

  1. B for Beatrice

    JamiiForums Tanzania Interview Afisa utamaduni

    Scenario questions yenye majibu yanayofanana sana yametofautiana kidogo sana so yalihitaji kutumia muda mwingi kusoma na kuelewa swali, swali la grammar likikuepo pia, swali la hesabu pia na computer
  2. B for Beatrice

    JamiiForums Tanzania Interview Afisa utamaduni

    Yan sio Kwa jiwe lile😥🙌🙌
  3. B for Beatrice

    JamiiForums Tanzania Interview Afisa utamaduni

    Naomba msaada. Anayejua maswali yanayotoka kwenye usaili (Afisa utamaduni) anisaidie..
  4. B for Beatrice

    JamiiForums Tanzania Ushauri juu ya kozi

    3.8 kwenda juu
  5. B for Beatrice

    JamiiForums Tanzania Ushauri juu ya kozi

    Mi pia nilisoma hio, waweza kuwa mhariri wa miswada na makala mbalimbali, mtayarishaji wa kamusi, mkalimani na mtafsiri wa lugha(hutegemea utasoma lugha gani kati ya kifatansa, kiswahili, na kingereza) pia waweza kuwa mkufunzi wa masomo ya mawasiliano kama ukihitimu na GPA kubwa
Back
Top Bottom