NAWASHUKURUNI NYOTE KWA USHAURI WENU NOW NAENDELEA POA NA HUYU MAN WANGU, nimeconfess amenielewa... now mapenzi ni zaidi ya awali, nitarudi tena kuwahabarisha tarehe ya harusi lolest..najiona ka nimezaliwa upya yani
cdhani kama kutafuta mwingine iko rahisi ivyo?! kwenye mapenzi kuna kukoseana na kusameheana. i lied for nothing as i ddnt intend digging his pocket whatsoever, tena wakati namwambia alivonikazania kuniuliza maswali mingi nikamwambia "kama unadoubt on this preg, leave me alone...can raise a kid...
thnx Kaunga
unajua most of times kwny r/shps watu hawakiri how deep they've fallen 4 their partners/lovers labda kwakuogopa kuumizwa or being let down, hiyo ndo iliyotokea kati yetu. Najua ananipenda much but he never admit it kutokana na his past love history, nami pia nampenda mno but again...
I'm Azfah, going thru serious misunderstanding wth my boy (im not sure if he still mine lolest)
sometime this yr nlimwambia baby angu kwamba nimenasa while he was outta country for some b'ness, kiukweli i ddnt...ila tu nilitaka kugain ile attention yake coz since asafiri (na hata kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.