dah pole sn kaka,,,pili mskuru sn mungu wako kwani amekujulisha mapema yota hayo b4 hujafunga ndoa,,kaa tulia kwanza ucfanye uamuzi wowote ule kwa sasa muombe sn mungu huku ukijitahidi kusahau hayo angalau ni ngum kwa mara moja,,,acha kabisaa kwa sasa maswala ya DNA
mrudie mungu wako hoply...