Recent content by Azniv Protingas

  1. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu: Zanzibar hapana!! Wanapenda kwenda Mahakamani

    Sidhani kama ni roho mbaya, ni bora hivo kupelekana mahakamani kuliko kusikia mara huyu kamuua yule, kamchoma kisu huyu. Na haya matukio ya kuuana yanatokea sana huku bara kwetu, sasa sijui kati ya kwenda mahakamani na kumtoa mtu uhai kipi bora.
  2. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje Mafuta yatoke Uganda yakasafishwe Ufaransa na Sio Tanzania kisha yaende nje?

    Kumbe, niliona post moja wanigeria wanalalamika iweje waimport mafuta wakati wana mafuta kwenye nchi yao. Na kwa nn hayo mafuta yanayosafishwa ndani ya nchi yao yanauzwa kwenye nchi nyingine lakini si Nigeria.
  3. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Sidhani kama imani ya mtu ina nafasi kwenye kuleta maendeleo ya wananchi, hata hivyo serikali ina viongozi wenye imani tofauti. Kwa hiyo hatuwezi kulaumu imani ya kiongozi
  4. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Similiki hata tyre ya baiskeli lakini kusema kwamba wanapata pesa nyingi ndio iwe sababu ya kutochukua nauli sahihi kisa uzembe wa serikali.
  5. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Sidhani kwamba hawataki kutoa chenji, ila ni ukosefu wa chenji. Imefikia sasa chenji imekuwa ni biashara ya baadhi ya watu, sijajua kama wao ndio wanazishikilia pesa kiasi kwamba hazipo kwenye mzunguko. Hata ukienda benki kuomba chenji hawana
  6. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Kwenye nchi nyingine hakuna gharama za kulipa kwa simu, ni bure kabisa na unakuta wafanyabiashara wengi hadi wadogo wana lipa namba. Unascan maisha yanaendelea
  7. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Sio siku moja lakini naona hali inazidi kuwa mbaya, unaenda magenge zaidi ya matatu wote hawana chenji, watafanya vipi biashara kwa hali hii.
  8. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Nimeenda gengeni leo kununua bidhaa, nilikuwa sina mahitaji ya hivyo ni kitu kidogo tu cha shilingi mia mbili, nimempa muuzaji mia tano lakini ananiambia hana chenji. Nikaenda magenge mengine kama matatu hali ni hiyohiyo, ikabidi niondoke bila ya kununua ninachohitaji. Hali pia kwenye usafiri...
  9. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania KERO Miundombinu ya soko la Buguruni ni hatari kwa wafanyabiashara na wakaazi wa karibu na soko

    Soko la buguruni ni moja ya soko kubwa na maarufu ndani ya jiji la Dar es salaam ambalo linahudumia watu wengi hasa kwa wafanyabiashara wa matunda. Lakini cha kusikitisha miundombinu ya soko hilo ni kero kwa wafanyabiashara na wanunuzi ambao hufika hapo kwa ajili ya ununuzi wa mahitaji yao ya...
  10. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania SOMA: Ujumbe Kutoka Zanzibar Kuelekea Dec. 9. 2025

    Wakati wazanzibar wanadai haki zao mlikuwa mnawakebehi sasa hivi mnataka wawaunge mkono kwenye mambo yenu
  11. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA SOKO LA NANASI

    Ww tia kwenye gari ukifika hiyo sehemu utapata wateja hukohuko
  12. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Madalali TRA ni wafanyakazi wa TRA au vipi?

    Na ww ni mmoja wao nn, naona imekuuma😅🤣🤣🤣
  13. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

    Mbona maelezo tofauti na aliyotoa dayamondi
  14. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Je, ndio yamenikuta kwenye banda langu la mpira?

    Hilo banda lipo wapi
Back
Top Bottom