Sidhani kama ni roho mbaya, ni bora hivo kupelekana mahakamani kuliko kusikia mara huyu kamuua yule, kamchoma kisu huyu. Na haya matukio ya kuuana yanatokea sana huku bara kwetu, sasa sijui kati ya kwenda mahakamani na kumtoa mtu uhai kipi bora.
Kumbe, niliona post moja wanigeria wanalalamika iweje waimport mafuta wakati wana mafuta kwenye nchi yao. Na kwa nn hayo mafuta yanayosafishwa ndani ya nchi yao yanauzwa kwenye nchi nyingine lakini si Nigeria.
Sidhani kama imani ya mtu ina nafasi kwenye kuleta maendeleo ya wananchi, hata hivyo serikali ina viongozi wenye imani tofauti. Kwa hiyo hatuwezi kulaumu imani ya kiongozi
Sidhani kwamba hawataki kutoa chenji, ila ni ukosefu wa chenji. Imefikia sasa chenji imekuwa ni biashara ya baadhi ya watu, sijajua kama wao ndio wanazishikilia pesa kiasi kwamba hazipo kwenye mzunguko. Hata ukienda benki kuomba chenji hawana
Kwenye nchi nyingine hakuna gharama za kulipa kwa simu, ni bure kabisa na unakuta wafanyabiashara wengi hadi wadogo wana lipa namba. Unascan maisha yanaendelea
Nimeenda gengeni leo kununua bidhaa, nilikuwa sina mahitaji ya hivyo ni kitu kidogo tu cha shilingi mia mbili, nimempa muuzaji mia tano lakini ananiambia hana chenji.
Nikaenda magenge mengine kama matatu hali ni hiyohiyo, ikabidi niondoke bila ya kununua ninachohitaji.
Hali pia kwenye usafiri...
Soko la buguruni ni moja ya soko kubwa na maarufu ndani ya jiji la Dar es salaam ambalo linahudumia watu wengi hasa kwa wafanyabiashara wa matunda. Lakini cha kusikitisha miundombinu ya soko hilo ni kero kwa wafanyabiashara na wanunuzi ambao hufika hapo kwa ajili ya ununuzi wa mahitaji yao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.