Recent content by Azizi Walter

  1. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mwenye bahati aliyepangiwa na Mungu kupata nafasi ya kujiunga na Jeshi atajiunga haijalishi una mbuyu au huna kikubwa Muombe sana Mungu wako lia nae kwa imani yako hakuna linaloshindikana kwake, na ukikosa nafasi mshukuru Mungu pia jua hajakupangia kwa wakati huu fanya mambo mengine jitunze...
  2. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Wahuni wameniibia Main switch na wire wa kupeleka umeme kwenye main switch

    Cha kwanza kabisa walioiba ni mafundi wako na cha pili msidanganyane eti Ilazo is safe Mimi nipo hii Ilazo ya Martin yani usalama wa Ilazo sasa hivi ni kila nyumba inaweka uzio wa umeme la sivyo Ilazo wanatembea kikundi wanaiba mtaa kwa mtaa
  3. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Niamini mimi huyo manzi ipo siku atakutafuta tena hata akiwa ndani ya familia yake na atajutia sana alichokufanyia karma is realy itamtesa sana hiyo ishi maisha yako tu ila ipo siku hutaamini atakavyojiliza Source: Trust Me
  4. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Naam ni April mafunzoni kwa PT
  5. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mna tabu nyie
  6. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Naam sahihi
  7. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Min Laptop Inauzwa

    Umeshapata?
  8. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Wamepigiwa cm kwa Zanzibar lakini nazungumzia pamoja na PDF kuja kutoka lakini tayar wamepigiwa cm na kuna maelekezo waliambiwa wayatekeleze
  9. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kiufupi kwa upande wa Zanzibar wanaoenda PT tayar wameshajijua na wa bara Mungu atawasaidia pia
  10. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Ni hatar sana
  11. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Wapo wanaowaambia wazazi wao kuhusu pesa inafikia hatua mzazi anakata eneo linauzwa kijana anachukua mil 3 anapeleka kwa anaemjua pesa inaenda
  12. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Ipo hivi kupambana na usaili tu na kutuma maombi ni jitihada tosha na Mungu anakuona kuwa na imani thabit unatoboa huo mbuyu ni ziada tu utahonga hata mil 5 na ikaliwa na usifikie ulipotamani kufika
  13. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kwa ushauri wangu msitoe milion 2 au 3 kisa usaidiwe kupata ajira hiyo pesa ni zaid ya kubet kama unefanikiwa kupata hiyo pesa kaa chini tuliza kichwa anza biashara kidogo kidogo utafika pale unataka kufika, unapenda majeshi tuma maombi mlilie Mungu wako kama ni yako ni yako tu uwezo wa Mungu ni...
  14. Azizi Walter

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira Jeshi la Magereza 2023

    uhamiaji PDF limetoka mkapitie kama uliomba
Back
Top Bottom