Recent content by Azizi J Hamad

  1. A

    JamiiForums Tanzania Maono tarajiwa kutokana na uwekezaji wa Indonesia katika visiwa vya Zanzibar

    Are you serious na ulichokisoma?
  2. A

    JamiiForums Tanzania Maono tarajiwa kutokana na uwekezaji wa Indonesia katika visiwa vya Zanzibar

    Tatizo lako ulisoma kwa kukariri na ukakaririshwa na namna ya kuishi ndio maana unateseka, kuelewa uzi
  3. A

    JamiiForums Tanzania Maono tarajiwa kutokana na uwekezaji wa Indonesia katika visiwa vya Zanzibar

    Utashi wako wa kufikiri na kuchambua mambo upo kwenye mfuko wako wa nyuma wa suruali yako
  4. A

    JamiiForums Tanzania Maono tarajiwa kutokana na uwekezaji wa Indonesia katika visiwa vya Zanzibar

    Endelea kusoma kwa kukariri siku yako itafika ya kuumbuka
  5. A

    JamiiForums Tanzania Maono tarajiwa kutokana na uwekezaji wa Indonesia katika visiwa vya Zanzibar

    Maono tarajiwa kutokana na uwekezaji wa Indonesia katika visiwa vya Zanzibar. Tunaweza kusema kuwa neema yaenda kushuka katika Zanzibar, kwa maana Indonesia ina visiwa takriban elfu 17, vyenye mafanikio jadidi katika Nyanja zote za kimaendeleo, hivyo tunapaswa kuwa na jicho la ndege mwewe katika...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Papo Kwa Papo

    Inatakiwa ukapimwe mkojo wewe, halmashauri yako ya kichwa haipo sawa
  7. A

    JamiiForums Tanzania Papo Kwa Papo

    Sasa kama wewe ni mwizi una uhalali gani wa kumshambulia mwizi mwenzako, nenda katubu dhambi zako kibaka mmoja wewe.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Papo Kwa Papo

    Nchi yako wewe na nani?
  9. A

    JamiiForums Tanzania Papo Kwa Papo

    Unaangamia kwa kukosa maarifa
  10. A

    JamiiForums Tanzania Papo Kwa Papo

    Unamjuaje mwizi kama wewe sio mwizi?
  11. A

    JamiiForums Tanzania Papo Kwa Papo

    Na wewe ulie reply umepoteza nini?
  12. A

    JamiiForums Tanzania Papo Kwa Papo

    Ilani ya CCM, Sura ya 10, Ibara ya 251,(e), Uk.299. Hatua nyingine muhimu kwa Chama katika kusimamia utekelezaji wa Ilani ni kuhakikisha kuwa, Chama kinatenga siku maalum kila wiki ili kusikiliza kero za wananchi na kuzifikisha serikalini kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi. Kila siku ya Jumamosi...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Papo kwa papo

    Jimbo la nyumbani kwenu
  14. A

    JamiiForums Tanzania Nadiriki kusema kwamba CCM ni chama imara na chenye uwezo wa kusikiliza kero za watu wake

    Hujajibu swali bado, naona unaruka ruka tu kama maharage yanataka kuiva
  15. A

    JamiiForums Tanzania Papo kwa papo

    Unataka kusema nini kwa mfano?
Back
Top Bottom