Recent content by AziGogolato

  1. A

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupata namba zote za simu

    Kuna watu wamechanganyikiwa sana na freemasson, yaani yeye anadhani freemasson ni kama vile ndo wameumba hii dunia.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupata namba zote za simu

    Hakuna urasimu pale? Na huyo Mateo Qaresi anahusika na nini?
  3. A

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupata namba zote za simu

    Ni mwanachama wa jf huyo jamaa?
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupata namba zote za simu

    Haa! kumbe freemasson siyo watu? nasikia idadi yao inazidi kupunguwa kila mwaka.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupata namba zote za simu

    Nitajitahidi. Una ratiba za mikutano yao?
  6. A

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupata namba zote za simu

    Nimekupata vizuri, yaani hakuna namna nyingine? hakuna directory somewhere hivi?
  7. A

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupata namba zote za simu

    Habari JF. Samahani nauliza nawezaje kupata database yenye namba zote za simu za mkononi za waTanzania wote?. Nahitaji hizi namba kwa ajili ya mobile marketing tu na si vinginevyo. Nawasilisha.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kiwanja madale

    Habari jf. Nahitaji kiwanja maeneo ya madale D'salaam. Bajeti yangu ni milioni 4.5. Mwenye kuwa nacho aseme kina ukubwa gani pia aweke mawasiliano yake. Sihitaji maeneo ya mabondeni na sihitaji kiwanja chenye mgogoro wa aina yeyote. Sehemu zingine pia naweza kununua kama si mbali sana na mji...
Back
Top Bottom