Recent content by Ayoub Sads

  1. Ayoub Sads

    𝙈𝙖𝙩𝙪𝙢𝙞𝙯𝙞 𝙮𝙖 𝙨𝙤𝙡𝙖𝙧

    𝙃𝙖𝙗𝙖𝙧𝙞 𝙣𝙙𝙪𝙜𝙪 𝙟𝙖𝙢𝙞𝙞 𝙛𝙤𝙧𝙪𝙢, 𝙣𝙞𝙢𝙚𝙡𝙚𝙩𝙚𝙬𝙖 𝙣𝙖 𝙣𝙙𝙪𝙜𝙪 𝙮𝙖𝙣𝙜𝙪 𝙝𝙖𝙥𝙖 𝙨𝙤𝙡𝙖𝙧 𝙥𝙖𝙣𝙚𝙡 𝙬10 𝙗𝙖𝙩𝙧𝙞 12𝙫 𝙝𝙞𝙫𝙞 𝙞𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙬𝙖𝙨𝙝𝙖 𝙩𝙖𝙖 𝙣𝙜𝙖𝙥𝙞... 𝙈𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙢𝙛𝙪𝙢𝙤 𝙬𝙖𝙠𝙚 𝙨𝙞𝙟𝙖𝙚𝙡𝙚𝙬𝙖 𝙖𝙪 𝙣𝙞 𝙗𝙖𝙩𝙧𝙞 𝙣𝙙𝙞𝙤 𝙝𝙖𝙞𝙨𝙖𝙥𝙤𝙩𝙞 𝙠𝙪𝙬𝙖𝙨𝙝𝙖 𝙩𝙖𝙖 𝙯𝙖𝙞𝙙 𝙮𝙖 𝙢𝙤𝙟𝙖
  2. Ayoub Sads

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    𝗞𝗶𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗶 𝗵𝗶𝘃𝗶 𝗿𝗶𝗯𝗮 𝘇𝗮𝗼 𝗻𝗶 𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗺𝗶𝗮 𝗻𝗴𝗮𝗽𝗶, 𝘁𝗮𝗳𝗮𝗱𝗵𝗮𝗿𝗶 𝗻𝗶𝗲𝗹𝗲𝗸𝗲𝘇𝗲 𝗺𝗮𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗶𝗲 𝗻𝗶𝘄𝗲𝗸𝗲𝘇𝗲 𝗵𝘂𝗸𝗼.. 𝗡𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝘂𝘁𝗼𝗳𝗮𝘂𝘁𝗶 𝗴𝗮𝗻𝗶 𝗸𝗮𝘁𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗽𝗲𝘀𝗮 𝗯𝗮𝗻𝗸 𝗻𝗮 𝘂𝘁𝘁 𝗮𝗺𝗶𝘀
  3. Ayoub Sads

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Nilikiwa nahitaji kujua ni mfuko gani ni bora kuwekeza, nahitaji kufungua account but bado sijawa na elimu ya kutosha..
  4. Ayoub Sads

    𝗞uhusu 𝗨𝗧𝗧 𝗔𝗠𝗜𝗦

    𝗦𝗵𝘂𝗸𝘂𝗿𝗮𝗻
  5. Ayoub Sads

    𝗞uhusu 𝗨𝗧𝗧 𝗔𝗠𝗜𝗦

    𝗦𝗵𝘂𝗸𝘂𝗿𝗮𝗻 𝗸𝗶𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗶
  6. Ayoub Sads

    𝗞uhusu 𝗨𝗧𝗧 𝗔𝗠𝗜𝗦

    𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶 𝘇𝗮 𝗺𝗮𝗷𝘂𝗸𝘂𝗺𝘂 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗰𝗵𝗮𝗺𝗮 𝘄𝗮 �J𝗮𝗺𝗶𝗶F𝗼𝗿𝘂𝗺𝘀, 𝗻𝗶𝗹𝗶𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗺𝘀𝗮𝗮𝗱𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘂 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗷𝘂𝗮 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗨𝗧𝗧 𝗔𝗠𝗜𝗦 𝗺𝗮𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗶𝗺𝗲𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝗸𝘂𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗲𝗸𝗲𝘇𝗮 𝗵𝘂𝗸𝗼 𝗹𝗮𝗸𝗶𝗻𝗶 𝗰𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝗺𝗼𝘁𝗼 𝗻𝗶 𝗸𝘄𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗯𝗮𝗱𝗼 𝘀𝗶𝗷𝗮𝗷𝘂𝗮 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝘄𝗮𝗼. 𝗣𝗶𝗮 𝗻𝗶𝗻𝗴𝗲𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝗸𝘂𝗷𝘂𝗮 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗸𝘄𝗮𝗺𝗯𝗮, 𝗵𝗶𝘃𝗶 𝗸𝘂𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗽𝗲𝘀𝗮 𝗯𝗮𝗻𝗸 𝗻𝗮 𝘂𝘁𝘁 𝗮𝗺𝗶𝘀 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝘁𝗼𝗳𝗮𝘂𝘁𝗶 𝗴𝗮𝗻𝗶, 𝗻𝗶...
  7. Ayoub Sads

    Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

    Unajua kutukana vyema..asante
  8. Ayoub Sads

    Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

    Kitu cha uasi si vema kukielezea in public kwasababu itakuwa naweka ushuhuda. Kwahivyo mkuu nishauri namna ya kuacha tabia mbovu zenye kuitokomeza nafsi kwenye kiza kinene
  9. Ayoub Sads

    Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

    Asante kwa kunihamasisha
  10. Ayoub Sads

    Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

    Asante.. Mungu akubariki kwa ushauri wako
  11. Ayoub Sads

    Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

    Wanachama wenzangu habari yenu, niko jambo linanitatiza hivyo nikapendelea nililete kwenu kwasababu hii ni kawaida na ndio dhumuni ya mtandao huu (JF), kushauriana pamoja kupeana hamasa katika maisha yetu ya kila siku. Hivyo sikujihisi mpweke nikawa na imani kwamba hili tatizo langu nawezq...
  12. Ayoub Sads

    Nini suluhisho la tatizo la kushindwa kuwasiliana

    Asante.. Hizo nimeshaacha takribani mwaka umeshapita and kuhusu usingizi napata vizuri tu na pia hii ni kitu inanistajabisha maana kama tatizo la kiakili lingekuwepo ningekosa usingizi kama nilivyokuwa awali.
  13. Ayoub Sads

    Nini suluhisho la tatizo la kushindwa kuwasiliana

    Nashukuru nitafanya mawasiliano..
Back
Top Bottom