Recent content by Ayoub mkwambe

  1. Ayoub mkwambe

    JamiiForums Tanzania Maboto mnatunyanyasa wateja

    Takataka kabisa Hawa jamaa. Ninahasira kuliko
  2. Ayoub mkwambe

    JamiiForums Tanzania Maboto mnatunyanyasa wateja

    Asee Hawa jamaa ni shidaaaaaa asikwambie mtu. Tafadhari usije kumshauri hata nduguyo rafiki jirani au awaye yeyote kuingia kwa Hawa jamaaaa. Hawafaiiiii in deed. Walichonifanyia sitasahau
  3. Ayoub mkwambe

    JamiiForums Tanzania Makampuni fedhuri kama Maboto hayapaswi kufumbiwa macho

    Yaani Hawa maboto Hawa Nina hasira nao balaaa
  4. Ayoub mkwambe

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri: Uhesabuji Kura na Utangazaji Matokeo katika Chaguzi Ndogo kwenye Kata 43 - Novemba 26, 2017

    tunakwenda wapi Tanzania? kwann hatukubali kushindwa? kwann tuige mambo ya kimagharibi? kwann siasa itufanye tuwe maadui? kwann haya hayakutokea enzi za mwalimu yanatokea sasa? Hii ni aibu tena aibu kubwa kwa uchaguzi mdogo tena wa madiwani!!!!! shame on those.....
Back
Top Bottom