Lukuvi ni tapeli wa ki siasa siku zote za uchaguzi wa awali huwa haonyeshi yuko na nani ni mviziaji mzuri sana. Pamoja na kuwa na kasoro kwenye elimu yake anafaa kuwa PM.
Kwa kweli inasikitisha sana kuhusu mtaalamu aliye chora na kupitisha ramani ya barabara inayoanzia mwenge mpaka Tegeta. Wengi wa watumiaji tunapata taabu sana tunapotaka kuingia barabara za pembezoni.
Mara nyingi tumejikuta tukiwa katika hatari ya kugongwa kwa nyuma ya magari yetu kwa ukosefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.