Recent content by AYMAN JUNIOR

  1. A

    AT: nimeshtushwa kuvuliwa URAIA wa ZNZ

    Mhh. Hii nayo kali. Jamani tuwe makini tukitaka kusema chochote si hivyo tutachanganya watu akili. Hakuna uraia wa Zanzibar.Uraia uliopo ni wa Tanzania. Kila mzanzibari ni Mtanzania. Hakuna passport ya Zanzibar ,kuna passport ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kama ulivyo uraia. Kilichopo...
  2. A

    Nape anatumia mkorogo?

    More personal issue. tujadili mambo ya kupeleka taifa mbele...
  3. A

    Hemed awaangukia mashabiki lakini.......

    Huyu dogo hamnazo. Kama utakua umefuatilia matukio yake na mahojiano mbali mbali aliyofanya na vyombo vya habari basi utaelewa nnachosema. Jaji wana mbinu nyingi za kumpima mshiriki... Subiri hapa bongo mtasikia kaibuka n nyengine super star wetu???
  4. A

    Giggs balaaaa!

    Why did you complain Natasha. I s Because Giggs betrayed you to IMOGEN?. SHAME TO BOTH GIGGS AND NATASHA.
  5. A

    Soma majibu ya Selebu wa Kibongo, Hemed akihojiwa na Zamaradi

    Ama kweli Kiama kiko karibu kumbe. Are you serious man!. Una diary na nini????
Back
Top Bottom