Recent content by ayb

  1. A

    Mwandishi wa habari wa Aljazeera ambaye pia ni gaidi la HAMAS

    I don't care about Arabs, I care about humanity. I suggest you do the same.
  2. A

    Mwandishi wa habari wa Aljazeera ambaye pia ni gaidi la HAMAS

    Wewe hajioni ulichokiandika ni ubaguzi, huwezi ku stereotype society nzima. Hakuna jumia ambayo inawatu wazuri tu au wabaya tu sio dini, sio kabila, sio nchi nk. Background yako itakuwa inashida, what you have just wrote it shows your level of civility is very low
  3. A

    Mwandishi wa habari wa Aljazeera ambaye pia ni gaidi la HAMAS

    I am bold enough kuelewa Isreal wanafanya ethnic cleansing Gaza baadala ya kusoma manifesto ya hamas. As you read on the charter they want to do to Isreal as what was done to them (revenge)hata ulicho quote hukijui. 75 years ya oppression wewe haoni, unategemea reaction itakuwaje. Hii sio vita...
  4. A

    Mwandishi wa habari wa Aljazeera ambaye pia ni gaidi la HAMAS

    Hivi Hamas wanapigania uhuru wa palestina au wanapigania dini. Acha upotoshaji aikusadii kitu zaidi ya kuonekana mpuuzi. Huyo anapigania taifa lake. And mind you, palestina Kuna waislam na wakristo pia. Makinisa mengi tu yameshambuliwa Gaza na pia wakristo wameuwa. Vilevile ukizania Isreal ni...
  5. A

    Israel yasema Mateka waliokuwa wanashikiliwa na Hamas Wote wamekufa!

    Angalia ulvyo kuwa mbaguzi. Unachokiandika explains who you are. Hata nikueleza Maisha yako yote huwezi kuelewa. Dini, kabila, Ukanda, jinsia au kitu chochote kinachotofautisha si binadamu sio sababu ya sisi kukosa haki. Hujajua tu bado wewe pia ni victim endelea na hiyo dini yako yakikufika...
  6. A

    Israel yasema Mateka waliokuwa wanashikiliwa na Hamas Wote wamekufa!

    Umeshakutana na wayahudi au unaongea unachokijua. Kama hauna ubinadanu fanya siri usifanye kila mtu ajue
  7. A

    Israel yasema Mateka waliokuwa wanashikiliwa na Hamas Wote wamekufa!

    Hii vita si ya kidini. Na haikuanza Oct 7 kama mnavyo haminishwa wewe endelea kusema waarabu hata wewe mtu weusi Kuna haki ya kuishi ngoja Hao wakubwa wapate sababu ya wewe kutokuwepo hapo ulipo utafurai na kizazi chako. Saa nyingi Acheni kushangilia vitu bila kujua kumbe ha wewe pia victim
  8. A

    Israel imeshindwa kupangua hoja Africa kusini kwenye kesi ya ICJ

    Bullshit! Occupation ilianza Oct 7. Don't mention Oct 7 to justify what israel is doing. Mnasema Oct 7 as if ndio vita ilianza hapo, kaa chini Soma vizuri stop asking pathetic questions
  9. A

    Israel imeshindwa kupangua hoja Africa kusini kwenye kesi ya ICJ

    Acha ushabiki wa kijinga kwani vita imeanza Oct 7. Kunatofauti gani na ANC kipindi cha ubaguzi walivyokuwa wakifanya mashambulizi ndani ya South Africa. Na sababu ilikuwa ni njia ya ku pressure utawala wa kibaguzi kuondokana na ubaguzi. Lakini hamuezi kuona hili. sababu wewe ni mbaguzi na...
  10. A

    Israel yaanza kupanga mikakati ya kujenga Gaza mpya baada ya vita, Hamas ni marufuku

    Ukisoma comments kwenye hii thread wa tanzania ni vichwa maji. Watu wanatao maoni ya kitoto kwenye vitu vigumu, hii jamiforum inatumika Vibaya imekuwa kama kijiwe cha wakosa kazi
  11. A

    Vita kati ya Hamas na Israel ni kati ya dini na dini au ni kati ya Taifa na Taifa??

    Hujui kama Gaza makanisa yamepigwa mabomu na wakristo wameuwa since when bomb linachagua dini. Fuatila kwa nini leo Bethlehem hakuna sherehe ya Christmas watu waomboleza. Anglia hiyo link hapo chini https://www.instagram.com/reel/C1Pymi8pA6N/?igsh=eHRpZG0yYXk5cmtn
  12. A

    Vita kati ya Hamas na Israel ni kati ya dini na dini au ni kati ya Taifa na Taifa??

    Hujui kama Gaza makanisa yamepigwa mabomu na wakristo wameuwa since when bomb linachagua dini. Fuatila kwa nini leo Bethlehem hakuna sherehe ya Christmas watu waomboleza. Anglia hiyo link hapo chini https://www.instagram.com/reel/C1Pymi8pA6N/?igsh=eHRpZG0yYXk5cmtn
  13. A

    Vita kati ya Hamas na Israel ni kati ya dini na dini au ni kati ya Taifa na Taifa??

    Wewe unafualitila habar au unasema tu. West Bank hapajatilia pia israel inawauwa wapelistina pia fuatikia Habari upate uelewa mwaka huu tu wapelistina 243 wameuliwa west bank
  14. A

    Kumekucha:Jarida la Israel lakiri kuwa Israel iliuwa raia wake wenyewe 364 kwenye Festival

    Soma article uelewe instead ya kuuliza upuuzi. Inaelekea English inakutesa. Wapi kwenye article Kuna elezea kwamba hamas hawakuteka waisraeli. https://www.aljazeera.com/news/2023/11/18/hamas-had-not-planned-to-attack-israel-music-festival-israeli-report-says
  15. A

    Hamna taifa litaloweza kuing’oa Israel Mashariki ya Kati maana hapo ndipo nyumbani!

    Wewe unajua balfour declaration. Kulikuwa kunauwezekano wa waisreal kupewa Uganda utasema na Uganda ni sehemu takatifu. Hiyo bibilia unayo I quote waisrael hawaiamini hata Hawaamini kama yesu ni Masia. Wanaamini Masia wao bado hajaja. Pia Isreal dini kubwa wayahudi wakifuatiwA na waislam...
Back
Top Bottom