Wewe hajioni ulichokiandika ni ubaguzi, huwezi ku stereotype society nzima. Hakuna jumia ambayo inawatu wazuri tu au wabaya tu sio dini, sio kabila, sio nchi nk. Background yako itakuwa inashida, what you have just wrote it shows your level of civility is very low
I am bold enough kuelewa Isreal wanafanya ethnic cleansing Gaza baadala ya kusoma manifesto ya hamas. As you read on the charter they want to do to Isreal as what was done to them (revenge)hata ulicho quote hukijui. 75 years ya oppression wewe haoni, unategemea reaction itakuwaje. Hii sio vita...
Hivi Hamas wanapigania uhuru wa palestina au wanapigania dini. Acha upotoshaji aikusadii kitu zaidi ya kuonekana mpuuzi. Huyo anapigania taifa lake. And mind you, palestina Kuna waislam na wakristo pia. Makinisa mengi tu yameshambuliwa Gaza na pia wakristo wameuwa. Vilevile ukizania Isreal ni...
Angalia ulvyo kuwa mbaguzi. Unachokiandika explains who you are. Hata nikueleza Maisha yako yote huwezi kuelewa. Dini, kabila, Ukanda, jinsia au kitu chochote kinachotofautisha si binadamu sio sababu ya sisi kukosa haki. Hujajua tu bado wewe pia ni victim endelea na hiyo dini yako yakikufika...
Hii vita si ya kidini. Na haikuanza Oct 7 kama mnavyo haminishwa wewe endelea kusema waarabu hata wewe mtu weusi Kuna haki ya kuishi ngoja Hao wakubwa wapate sababu ya wewe kutokuwepo hapo ulipo utafurai na kizazi chako. Saa nyingi Acheni kushangilia vitu bila kujua kumbe ha wewe pia victim
Bullshit! Occupation ilianza Oct 7. Don't mention Oct 7 to justify what israel is doing. Mnasema Oct 7 as if ndio vita ilianza hapo, kaa chini Soma vizuri stop asking pathetic questions
Acha ushabiki wa kijinga kwani vita imeanza Oct 7. Kunatofauti gani na ANC kipindi cha ubaguzi walivyokuwa wakifanya mashambulizi ndani ya South Africa. Na sababu ilikuwa ni njia ya ku pressure utawala wa kibaguzi kuondokana na ubaguzi. Lakini hamuezi kuona hili. sababu wewe ni mbaguzi na...
Ukisoma comments kwenye hii thread wa tanzania ni vichwa maji. Watu wanatao maoni ya kitoto kwenye vitu vigumu, hii jamiforum inatumika Vibaya imekuwa kama kijiwe cha wakosa kazi
Hujui kama Gaza makanisa yamepigwa mabomu na wakristo wameuwa since when bomb linachagua dini. Fuatila kwa nini leo Bethlehem hakuna sherehe ya Christmas watu waomboleza. Anglia hiyo link hapo chini
https://www.instagram.com/reel/C1Pymi8pA6N/?igsh=eHRpZG0yYXk5cmtn
Hujui kama Gaza makanisa yamepigwa mabomu na wakristo wameuwa since when bomb linachagua dini. Fuatila kwa nini leo Bethlehem hakuna sherehe ya Christmas watu waomboleza. Anglia hiyo link hapo chini
https://www.instagram.com/reel/C1Pymi8pA6N/?igsh=eHRpZG0yYXk5cmtn
Wewe unafualitila habar au unasema tu. West Bank hapajatilia pia israel inawauwa wapelistina pia fuatikia Habari upate uelewa mwaka huu tu wapelistina 243 wameuliwa west bank
Soma article uelewe instead ya kuuliza upuuzi. Inaelekea English inakutesa. Wapi kwenye article Kuna elezea kwamba hamas hawakuteka waisraeli.
https://www.aljazeera.com/news/2023/11/18/hamas-had-not-planned-to-attack-israel-music-festival-israeli-report-says
Wewe unajua balfour declaration. Kulikuwa kunauwezekano wa waisreal kupewa Uganda utasema na Uganda ni sehemu takatifu. Hiyo bibilia unayo I quote waisrael hawaiamini hata Hawaamini kama yesu ni Masia. Wanaamini Masia wao bado hajaja. Pia Isreal dini kubwa wayahudi wakifuatiwA na waislam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.