Recent content by Ayana

  1. A

    Wanaume someni inawahusu

  2. A

    Wanaume someni inawahusu

  3. A

    Wanaume wengi wanaotafuta wachumba humu ni balaa...!!

    Kweli wanaume humu jf wengi ni waongo na hawako serious kabisa wanataka kufanya sex tu. Na wengine wameshaoa na kuenda kukutana nao ukakataa kufanya nao sex ndo biashara imeishia hapo sitaki hata kusikia mie kutafuta mchumba jf
  4. A

    Wanaume someni inawahusu

    Napenda kuchukua nafasi hii kuwaonya wanaume wanaoleta mambo ya utani katika sehemu hii muhimu. Binafsi sijapenda kabisa na tabia yenu mnayoionyesha kwa wanawake/wadada. Kama hamna nia ya kutafuta wanawake mkae kimya, sio kuleta utani jamani. Pili kama umeonana na mwanamke then ukaona hana sifa...
  5. A

    Natafuta mke wa kuoa:

    Acha kuwachezea wanawake wana muhimu wake, sasa wewe ulishafunga nae ndoa na wataka mke mwingine wewe ni mwislam?
  6. A

    Natafuta husband material

    nenda kasome kwanza umri wako unaonyesha hivyo
  7. A

    Natafuta husband material

    Ndo maana nimetaka husband material kwa kuwa nami ni wife material
  8. A

    Natafuta husband material

    Hapana siko tayari
  9. A

    Natafuta husband material

    dogo dogo siwataki hawajajua maana ya maisha bado
  10. A

    Hivi nini kwa nini?

    Jamani nimeingia jf hivi karibuni tu lakini kuna kitu kimenikera. Hivi kwa nini hawa wanaume wa kihaya wana majivuno namna hiyo. Mara utamsikia sipendi mwanamke anayeishi uswahilini mara hujui kuongea kiingereza. Hivi kwani mie nimetafuta kiingereza au husband material wanabore sana sitaki hata...
  11. A

    Am new here

    Mie ni mgeni kabisa jf naombeni ushirikiano na upendo.
  12. A

    Natafuta husband material

    Mimi nina miaka 32, elimu ya juu, sina mtoto, na sijawahi olewa. Ni mwajiriwa. Naishi kibaha. sifa za nimtakae awe na umri kuanzia miaka 32 mpaka 45, mkristo. Awe mwajiriwa/mjasiriamali. Awe tayari kupima ukimwi. Asiwe na mtoto lakini mwenye mtoto mmoja nitamfikiria.
Back
Top Bottom