Realy i have flambagast how comes we dare to do so in my opinion us tanzania we are not ready to join thbecause first all those nation they have more of tribalism so when we dare to go in the country they will apply there tribalism to us tanzanian
Imenichukua muda mrefu sana kutafakari kama watanzania kweli wanataka kufanya mageuzi kwenye swala la siasa ila nilichokuja kugundua ni kwamba wapinzani wote wapo kimaslahi zaid na si kwa ajili ya maslahi ya watanzania wote nina iman kwamba vyama vyama vya upinzani visipoungana haviwezi kuingoa...
That is good ila tatizo ni kwamba hakuna chama cha upinzani hata kimoja tanzania ambacho kipo active kwa hivi sasa tanzania kwa hiyo hata tukimyima na familia zetu atashinda tu kwa kura za wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.