kiukweli hayo makontena kama ni ya shule kweli basi wampe makontena yake na wahakikishe kweli anayapeleka shule make itakuwa jitihada nzuri kuongeza ubora wa elimu katika nchi yetu
samahani naomba kuuliza eti ukijenga uwanja wa ndege chato hakuna watu wa dsm watakaofaidika na ukijenga barabara za mwendo kasi dar je wa chato atafaidika na nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.