Hatuhitaji katiba bhanaa,
Tunahitaji vitu viwili tu... kwanza Utimamu wa akili na uwelewa & pili tabia zenye ukuu.
Tutaishi kwenye utimamu, watu wakiwa na akili timamu sio watu wakiwa na Katiba. Katiba ukiwapa wapumbavu itatumika kipumbavu tu. Katiba mbovu ukiwapa watu wenye akili timamu...
[emoji28][emoji28][emoji28] umeona raha iyo ulivonikosoa [emoji28].. kumbuka sis ni binaadam broo[emoji28][emoji28] by the way thank you mkamilifu usiekosea[emoji4]
Greeting [emoji110]
Sijuwi uwezo wako wa kufikiri upoje na Sijui una attitude gani kwenye haya maisha, sijui future yako ni nini kwenye huu ulimwengu na umefanya decision gani kuifikia, sijui kama wew ni miongoni mwa wale wanaoamini hapa ulimwenguni wamekuja kula, kuzaa, kujenga, kusoma na...
Master naomba katafute kitabu cha Michio kaku kinaitwa the future of the mind, ukikielew utagundua sote tumejaribu kusambaz some of knowledge kw watu wanopenda kutafuniwa kila kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.