Recent content by AUSTINE PhD

  1. AUSTINE PhD

    Naomba ushauri ndugu zangu

    Ni wa kike......akili yake yani yuko normal na uelewa wake wa mqmbo ya kawaida iko vizuri tatizo lipo kweny masomo tu labda nifanye evaluation ya kipaji chake
  2. AUSTINE PhD

    Naomba ushauri ndugu zangu

    Ndugu zangu wana JF nina mdogo wangu alipata shida ya meningitis pindi alipokua mdogo lakini inaonekana kua ugonjwa huu ulihathiri mfumo wake wa uongeaji akiongea maneno yake ni kama hayaelewiki kwa wepesi. Kwa kulitambua hilo tuliamua kumpeleka shule ya mahitaji maalum lakini cha ajabu mpaka...
  3. AUSTINE PhD

    Vijana wa Kitanzania kujiajiri

    Bachelor ya uuguzi
  4. AUSTINE PhD

    Vijana wa Kitanzania kujiajiri

    Ok, ni sawa but kukaa tu miezi mitatu nyumbn bila kazi ham oni kuna ka ukakasi hapo?
  5. AUSTINE PhD

    Vijana wa Kitanzania kujiajiri

    Asante sana ndugu, simu yangu hii natamani ifanye kazi zaidi ya kuview status sasa je izo biashara ndogo ndogo za online nazifanyj?
  6. AUSTINE PhD

    Vijana wa Kitanzania kujiajiri

    Lakini ingekuwa vyema nikaanza kujishughulisha mapema sio mpk nimalize bado nasafari ndefu ya kusoma!!!
  7. AUSTINE PhD

    Vijana wa Kitanzania kujiajiri

    Habarini, wanajamii wa forum nimatumaini yangu kuna hamjambo Kuna jambo linanitatiza sana. Kwa sasa ni mwanafunzi wa shahada na naingia mwaka wapili lakini kila nikirudi likizo nyumbani swala la kukaa tu nyumbani linanitatiza sana nimekua nikiwaza bila kupata majibu sahihi. Ningetamani sana...
  8. AUSTINE PhD

    Ana PCB, EDC atapata BSC Nursing?

    Hawezi pata sasa ivi hata ioo nursing ambao naona watu wanaibeza kuipata ni shida kuna jamaa angu ana div one ya nane hajapata hata ioo nursing meingine alikosa chuo cha serikali mwaka jana alibahatisha mwaka huu na kupata nursing yy alikau na one ya saba KAMA ZINAMTISHA VIZURI AKASOME CO AF...
Back
Top Bottom