Pombe si sawa sawa na ulevi.
Matumizi ya dutu yoyote kinyume na inavyotakiwa ni sumu/hatari.
Biblia inakataza matumizi yasiotakiwa ya dutu mbalimbali ikiwemo pombe.
Ukisema pombe ni sumu unakinzana na maumbile (biology)kuwa kwenye damu kuna kiwango maalimu cha pombe.
Tafakari kuhusu hii hoja yako.
Katika mfumo wetu wa jua, au ulimwengu kwa ujumla unafikiri haiwezekani hakuna uhusiano, kwa mfano kati ya kitu kimoja na kitu kingine, sayari moja na nyingine au galaksi moja na nyingine?
Jambo linaweza kuwepo au kutokuwepo si kwa sababu linafikirika au halifikiriki; au kama ulivyoorodhesha hapo juu. Bali maarifa ndio hututhibitishia ikiwa jambo hilo lipo - ni ukweli au halipo- ni uongo.
Kuhusu Mungu ni nini au neno Mungu maana yake ni nini? Nakubaliana na maana ya Katekisimu ya Kanisa Katoliki, ambayo imeeleza maana ya Mungu kuwa ni neno tunaloita "Uwepo wa Hali ya Juu Wenye Akili".
Ye yote makini atajiuliza: kwa nini au sababu gani zinazofanya mtu aseme kuna Mungu? Pia mtu anapoita neno Mungu ana maanisha nini? Na je, sababu za haya yote ni nini: ni ulimwengu umetoka wapi na unaenda wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.