Recent content by AUDI SAPERE

  1. A

    JamiiForums Tanzania Sugu aunguruma Bungeni, atetea kazi za wasanii

    Mheshimiwa sugu leo amezungumza vizuri sana juu ya maslahi ya wanamuziki na unyonyaji wa hali ya juu unaofanywa na wanaojiita promoters wa muziki wa kitanzania( Clouds fm) pamoja na kampuni zilizoanzishwa kuendeleza unyonyaji huu. Inasikitisha sana kuona kwamba Ruge na wenzake ambao katika hali...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Sakata la kuuzwa UDA: Kauli za Idd Simba, Masaburi, Kisena et al utata mtupu

    ILa sifikirii kama Kissena atakuwa na uwezo mdogo sana asijue alichokuwa anakifanya kwamba hawezi kutofautisha bei ya ununuzi wa hisa na consultancy fee,hapa lazima Idd Simba atuambie vizuri.Na ni vipi Idd Simba yeye mwenyewe awe Mwenyekiti wa bodi halafu pia anatoa ushauri kwa kampuni ambayo...
Back
Top Bottom