Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Idd Simba ni tapeli, Magamba Robert Kisena kaingizwa chaka. Ndio maana anahaha kusingizia kuwa eti ni sehemu ya malipo ya UDA bali ni dili ambalo walielewana kuwa nipigie pande ninunue share za UDA nitakupa mshiko. Simba alifanya hivyo na kufanikiwa. Robert alipogundua deal ni batili ndo akaanza kuhaha. Hii ni Bongo
Tena hii ni bongo Darisalamu. Abiria chunga mzigo wako