Recent content by Atukuzwe Mungu

  1. Atukuzwe Mungu

    Jinsi ya kutibu tatizo la nguvu za kiume

    Una mawasiliano nae mkuu? Naomba mawasiliano yake
  2. Atukuzwe Mungu

    Unafanya dili gani linalokupa pesa? Kwa wanaume wapambanaji tu.

    Nina mabucha ya samaki wabichi kutoka Mwanza ( sato na sangara), kuku fresh na dagaa.
  3. Atukuzwe Mungu

    Kwa nini baadhi ya watu hufurahia viongozi, wasanii wanapofariki au kupata misiba?

    Watu wanalia wana sababu na watu ambao wanashangalia wana sababu pia. So tuheshimu hisia za watu
  4. Atukuzwe Mungu

    Natarajia kuvuna samaki sato natafuta mteja/wateja Mwanza

    Mkuu mimi nipo Moshi Kilimanjaro nafanya hii biashara ya samaki, ila napenda wale wa kibua hawa kidogo utokaji wake ni changamoto. Naweza kupata wale wa kawaida?
  5. Atukuzwe Mungu

    Kwanini maisha ni Ubatili?

    Asante mkuu kwa mada fikirishi
  6. Atukuzwe Mungu

    Hii Nyumba nimeijenga Dodoma nzuguni Juni 2025, fatilia ujue gharama tulizotumia

    Mkuu mbona sijaona gharama za matofali, cement, mawe nk
  7. Atukuzwe Mungu

    Msaada: Upungufu wa nguvu za kiume umepelekea nikose hamu ye tendo la ndoa

    Habarini ndugu wanaJF, nilikuja hapa kuomba msaada au ushauri wa changamoto yangu. Naomba nichukue nafasi hii kuwashukru wote ambao wameonyesha nia ya kunisaidia na wengine wamenisaidia. Napenda kuchukua nafasi hii kumshukru ndugu Dr Luu kwa tiba ambayo alinipatia na pia amekuwa bega kwa bega...
  8. Atukuzwe Mungu

    Msaada: Upungufu wa nguvu za kiume umepelekea nikose hamu ye tendo la ndoa

    Oooh!!! Alitumia dawa ya hospital au mitishamba?
Back
Top Bottom