Mkuu naweza kupata dawa ya kuongeza hamu ya mapenzi? Nimeenda hospital nikaambiwa Nina low testosterone yaani hormone yangu ipo chini. Nimetumia dawa. Nateseka sana Ndugu zangu.
Mkuu naweza kupata dawa ya kuongeza hamu ya mapenzi?
Nimeenda hospital nikaambiwa Nina low testosterone yaani hormone yangu ipo chini. Nimetumia dawa bila mafanikio
Salam ndugu zangu wanaJF,
JF imekuwa na msaada mkubwa sana kwangu. Leo nimekuja na kuomba msaada, je mwanamme kushindwa kutungisha mimba tiba yake ni Nini?
Vipimo vya hospital vinaonesha sperm hazina speed na sio matured. Naomba msaada kwa mtu ambaye anajua matibabu ata ya kienyeji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.