Mkuu mimi nipo Moshi Kilimanjaro nafanya hii biashara ya samaki, ila napenda wale wa kibua hawa kidogo utokaji wake ni changamoto. Naweza kupata wale wa kawaida?
Habarini ndugu wanaJF, nilikuja hapa kuomba msaada au ushauri wa changamoto yangu.
Naomba nichukue nafasi hii kuwashukru wote ambao wameonyesha nia ya kunisaidia na wengine wamenisaidia.
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukru ndugu Dr Luu kwa tiba ambayo alinipatia na pia amekuwa bega kwa bega...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.