UPDATE: Pesa zimerudi asee😂, ile Control number ni Exact Value, kwa maana malipo yote yapo configured kupokea kiasi kamili kichowekwa na kanzidata ya RITA, ingekuwa Control Number za Malipo ya TRA ama Bili zingine ningeumia, kuna App inaitwa GEPG, inaonesha ni Control number zipi zipo Configured...
Habari wanaJamii, leo nimetuma pesa zilizozidi kimakosa kwenda RITA; kwa maana nimetuma 30,000 badala ya 3,000, ni utaratibu upi nawezafanya kupata kiasi nilizozidisha? msaada tafadhali.
Za muda,
Leo nimetoka kuonana na wakili mmoja na kunielekeza jinsi ya kuwa na Power of Attorney iliyo halali; Wakili akishai-draft na kuigonga muhuri, anatakiwa kuandaa "Application for Filling Power of Attorney" ambayo utaipeleka Wizara ya Ardhi kwaajili ya kuisajili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.