Recent content by Atomic bomb

  1. A

    Fursa iliyojificha kati kati ya utapeli

    Ndugu zangu,kwa sasa kumekuwepo na biashara nyingi za kimtandao ambazo zina element ya utapeli. Biashara hizi nyingi zina aina moja ya utendaji ambapo unaingia kwa kuweka hela kisha kuwaalika wenzako na kupata hela kutokana na kile wanachoweka pamoja na hela uliyoweka. Biashara hzi kwa sasa...
  2. A

    CHADEMA, Mnawaambiaje EU na Mabalozi Waliowatetea awali?

    Chadema are bunch of holigans full of selfshness
  3. A

    Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

    Uliandika wewe???Andiko hilo linahusianaje na swali nililokuuuliza.Mimi nimekoment kwenye ulichoandika maana sion mantik wala facts
  4. A

    Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

    Unatengeneza story tupe insight ya unachokufahamu juu ya hii kampuni basing na madai yako...Hizi ni propaganda baada ya kushiba wali na maharage...Hamna kitu ulichoongea hapa
  5. A

    Mwanaharakati aliyefungua kesi Mahakama Kuu kupinga tozo adai kuitwa Uhamiaji kwa mahojiano

    Amijeweka kwenye spotlight na lazima wa hakiki kama kweli ni Mtanzania amefungua case Jina lake lina Utata.Kuna mhasibu mwenzangu alisoma Kenya Mama ni wa huko Uhamiaji Juzi walimwambia apeleke cheti huku Arusha so ni Jambo la kawaida ku crosscheck
  6. A

    Mwanaharakati aliyefungua kesi Mahakama Kuu kupinga tozo adai kuitwa Uhamiaji kwa mahojiano

    Hyo ni kawaida kuitwa na kuthibitisha uraia Haijaanza leo.Ninawajua wati wa kawaida hata kazini ninapofanya waliohojiwa uraia wao..Tena hajafatwa wa huku kwetu walifatwa ofisini nipo Arusha siwez shangaa hili.
  7. A

    Hans Pope: Manara hataki kusaini mkataba ambao atalipwa milioni 4

    Hata MESSI pia ana mkataba na Adidas licha ya timu yake kuwa na mkataba na Nike
  8. A

    FCC VS MCHAKATO SIMBA

    Hvi unajua waliopeleka pingamizi ni baadhi ya wanachama wa simba ni hiki kilichopo hapa kimetoka Fcc...
  9. A

    FCC VS MCHAKATO SIMBA

    Si kila post ni utopolo fuatilia kinachoendelea..hili ni swala la uendeshaji halina uhusiano na makombe kwa sass
  10. A

    FCC VS MCHAKATO SIMBA

    Hiii ya Fcc so zengwe mzee ni kweli ila issue kujua kama hizo hoja zote zina ukweli
  11. A

    FCC VS MCHAKATO SIMBA

    RI P O T I - Y A - U C H U N G U Z I - (F C C) !! [emoji3502]Uchunguzi wa awali wa (provisional funding) kutoka tume ya ushindani wa kibiashara (FCC) na maamuzi yake dhidi ya Simba juu ya mchakato wa muungano wa makampuni.... Katika ripoti hiyo imeainisha adhabu na baadhi ya mambo kama...
  12. A

    Kinachoikumba Shule ya Mt. Jude: TRA waliondoa 500,000,000 kwenye akaunti za Shule

    Hapana ni corporate tax maana hizo nyingine charitable hawalo exempted
  13. A

    Kinachoikumba Shule ya Mt. Jude: TRA waliondoa 500,000,000 kwenye akaunti za Shule

    Kesi ni mda since 2009 unaweza google tra vs st Jude ukaelewa zaidi grounds za case kuna appeal ipo
Back
Top Bottom