Hawa wezi ni kuwaacha jamani mapema tu...
Ni vyema wapeteze wateja ili wajirekebishe..
Wezi wakubwa hawa.
Sidhani kama kuna mtu aliyewahi kutumia voda au anayetumia voda ambaye hajawai kuibiwa.
Wengi tunaibiwa kwa kujua ama bila kujua, ni vyema kuwaama wezi wakubwa hawa.
Hawa wezi ni kuwaacha jamani mapema tu....
Ni vyema wapeteze wateja ili wajirekebishe..
Wezi wakubwa hawa.
Sidhani kama kuna mtu aliyewahi kutumia voda au anayetumia voda ambaye hajawai kuibiwa.
Wengi tunaibiwa kwa kujua ama bila kujua, ni vyema kuwaama wezi wakubwa hawa.
Nilishapanda mghamba ya Arusha to Khm, tukafika singida saa 3..ikabidi dereva apaki kwanza pale kona ya mwakyungu asubiri muda wa kuingia singida ufike.
Maana wanatakiwa waingie Singida saa 4 au nne kasoro dk chache.. sasa yeye saa 3 alikuwa ameshafika kona ya mwakungu, tukasimama hadi saa 4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.